Kumbe kizungu rahisi hivi

Kumbe kizungu rahisi hivi

TECHMAN

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
2,649
Reaction score
1,128
shsh.jpg
 
Wasanii wa bongo wengi shule hawana
 
Matarajio yao kuwa msanii wa kimataifa, hawapendi kumiga mpoto
 
Kizungu si lugha yetu ya kuzaliwa nayo, nashangazwa watu kupendelea kuitumia huku wakijua hawana ufahamu mnzuri wa hiyo lugha. Mtu umesoma chini ya mti unataka kung'ang'ania kutumia kiingereza si kujiaibisha huku.
 
Si kosa lake wadau.
Huyo demu aliachushwa shule kidato cha pili pale IGUNGA SECONDARY baada ya kujazwa mimba na muuza maji ya mkokoteni.
 
Hapo alikuwa hajatupia bia, ndiyo maana imekuwa lugha gongana!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom