Kumbe JF inatumia AI

Kumbe JF inatumia AI

Huyu mmatumbi hii mada aliindika kilugha sasa yote imekuwa king'en'ge
Dah wale wakujifanya wanajua kidhungu hapa tunawatoa shoo sasa

1768085015720.png
 
Allah siyo Mungu Muumba Bali ni ibilisi. Ndiyo maana wafuasi wake wanapenda kumwaga damu kama Samuya
 
Maana yake unaishi ngambo, AI inajaribu kurahishisha mambo kwa wanaotumia kuwaweka by default kama ni wageni hivyo AI kuja na lugha ya kigeni.
 
Maana yake unaishi ngambo, AI inajaribu kurahishisha mambo kwa wanaorumia kuwaweka by default kama ni wageni hivyo AI kuja na lugha ya kigeni.
Ng'ambo wapi tena huko unamaanisha huku namtumbo
 
Maana yake unaishi ngambo, AI inajaribu kurahishisha mambo kwa wanaorumia kuwaweka by default kama ni wageni hivyo AI kuja na lugha ya kigeni.
Ahaa, nimegundua kumbe ni vpn
Kesho nakuja hapa nikitema kifaransa mwanzo mwisho na JF yote naigeuza iwe ya wacongomani
 
Hapo teeth upo kitengo gani

AI inabidi itumiwe kwa uangalifu inajaribu kurahisisha mambo, lakini wakati huo huo inaibua mengi chanya na hasi kuanzia kupotosha / ukweli, kukupa mlaji lugha inayodhani mahali ulipo unaitumia n.k
 
Back
Top Bottom