Change_it JF-Expert Member Sep 17, 2010 279 83 Oct 21, 2011 #1 hivi kumbe inawezekana kuwa na speed kama hii
IrDA JF-Expert Member Aug 26, 2010 743 350 Oct 21, 2011 #2 hayo ndo mambo ya airtel........usishangae
S Spear_ JF-Expert Member Dec 29, 2010 1,603 486 Oct 21, 2011 #3 sishangae sana coz huenda upo chini ya mnara...njoo huku kwetu na hiyo Airtel yako uone kama utafikisha 20kbs
sishangae sana coz huenda upo chini ya mnara...njoo huku kwetu na hiyo Airtel yako uone kama utafikisha 20kbs
e2themiza JF-Expert Member Mar 29, 2011 974 563 Oct 21, 2011 #4 hehe inawezekana tena na zaidi.. karibu TIGO upate speed kama hii: