Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,137
- 9,688
Ndio nimejua leo wakuu..
😁😁😁😁Ndio nimejua leo wakuu..View attachment 3425571
Hata IGP aliyepo ofisini sasa hivi naye ni mwanaccmNdio nimejua leo wakuu..View attachment 3425571
IGP SIMON SIRO mstaafuHakuna mkuu wa mkoa ambaye sio mwanaccm
mnapoambiwa CCM ndo dola yenyewe hamuelewi..siku mkiambiwa upinzani ndo CCM yenyewe napo mtabisha..sasa ni vizuri kuwa na chama kimoja kisichojificha au kufutilia mbali vyama vyote??Ndio nimejua leo wakuu..View attachment 3425571
Mkuu wa mkoa ni mjumbe wa kamati ya siasa CCM mkoa husikaNdio nimejua leo wakuu..View attachment 3425571
Ndio nimejua leo wakuu..View attachment 3425571
Umechelewa kujua. Hao wote kwenye senior positions huko polis ni makada wa ccm, ndio maana kutwa kucha wanahaha kuwasurubu chadema kuipigania ccm chama laoNdio nimejua leo wakuu..View attachment 3425571
Ndio nimejua leo wakuu..View attachment 3425571