kevin nathan
Member
- Apr 20, 2012
- 20
- 4
utafiti unaonesha kuwa CCM mwaka sifa yake inaongezeka kwa asilimia kadhaa kila uchaguzi,
mwaka 1995 mkapa alipata 57 na 63 mwaka 2000, average ni 60. hiyo ni awam ya tatu, awamu ya nne kikwete 2005 80.28 then 2010 ,61 average ni 70.4%
then mwaka 2015 ccm atapata 65 na 2020 63 average 64, hiyo ni kwa ccm
kwa chadema mambo yako kama ifuatavyo mwaka 1995, 2% na 2000 3% average 2.5% then mwaka wa mbowe 2005 5% slaa 2010 22% average ni 13.5%
then 2015 slaa atapata 12% maana popularity yake yaan mtaji wake wa maneno ashaumaliza, na 2020 cdm 6%
mwaka 1995 mkapa alipata 57 na 63 mwaka 2000, average ni 60. hiyo ni awam ya tatu, awamu ya nne kikwete 2005 80.28 then 2010 ,61 average ni 70.4%
then mwaka 2015 ccm atapata 65 na 2020 63 average 64, hiyo ni kwa ccm
kwa chadema mambo yako kama ifuatavyo mwaka 1995, 2% na 2000 3% average 2.5% then mwaka wa mbowe 2005 5% slaa 2010 22% average ni 13.5%
then 2015 slaa atapata 12% maana popularity yake yaan mtaji wake wa maneno ashaumaliza, na 2020 cdm 6%