kila kitu ambacho kinapatikana kwa uchache eti ni dawa mara ya kansa mara ya utajiri mara ya mapenzi....... da watanganyika tubadilike jamani katka hili na ndo sababu hata albino walitafutwa kuliko pesa zenyewe..huyo ni mnyama kama wengine mambo ya matibabu hizo ni imani tu za watu