Kumbe huu mchezo madem wanapenda wenyewe ee?

Kumbe huu mchezo madem wanapenda wenyewe ee?

sijaelewa mkuu... mchezo gani sasa wanaopenda wenyewe...!!!!
 
Alllllllah..tatatata. turuharibain na kila neno la kukimea pepo...Toka toka tika kabisa..na ushindwe ktk jina la yule aliye Juu.
 
leo jf...watu wanaminyeeegeee sana si kwa srediii hizi
 
Hali imezidi kua mbaya sana toka mkuu wa kaya abane matumizi yasiyo na lazima zamani madem walikua na nyodo sana maana pesa zilikua nyingi wengi waliwekwa vimada na mapedeshee mjini wakipangiwa manyumba ya kisasa na vijibabu kule mjengoni ilikua vikao vikianza tuu madem wote wanakimbilia dom sasa wa chuo ndiyo usiseme walikua wananata balaa wakifika tuu chuo wanaona ni high class mbaya sasa mkuu kabana adi bum sasa wanatapatapa mbaya kabisa siku hizi madem wa chuo wamekua chep mbaya kabisa na wamekuja na mitego yao ya kisasa na ukijaribu tuu na kidole anakaa kimiaaa ukiipeleka ndiyo kabisaa anazungushia yote ni ili akupangawishe unate usitoke na sasa mwanaume usipokumbuka kondom anatulia tuu... Tuwe makini jaman sasa hv maana kumbe wanataka wenyewe huu mchezo? Na usipofanya wanakuona mshambaaaaaa...... View attachment 499897
I Wish I Could Be Mpiga Picha
 
lazima tuwakaze sana. wale walikua wanajifanya VIP Ukimpa 30000 tu utashindanae na nguo atakufulia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom