Kumbe humu ndani mnakulana tu!!!

mandokwa

JF-Expert Member
Jun 5, 2013
620
865
Nimesoma taarifa ya shedede na husna muba, pia nimesoma yule jamaa aliyekaa siti ya daladala na nyange wa jf na comment kadhaa. kumbe wenzangu mwakulana humu JF? mnatisha kabisaaaa na wala hamtoi hint kwa wenzenu....

nawasalim tu

Nangu mandokwa
 
IMG-20170515-WA0000.jpg

Jf ni kama mafuriko......
 
Doh nahitaji niokolewe namim ninazama jaman kwenye mafuriko

Kwny Uokozi watu wa Mwanzo mwanzo kuokolewa ni Wenye Mikia Mikubwa! Jee una vigezo vya kuokolewa Mwanzo Mwanzo?, Kama Wewe ni flat screen aaah tutakuja kukuopoa sio kukuokoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom