Kumbe historia ni muhimu!

Historia ni muhimu kwaajili ya baadae, mfano historia aliyotuachia mwendazake ni muhimu kukumbukwa ili siku za baadae tusifanye makosa tena.
Kweli mkuu umesahau lile la watanzania kukataa kumchagua mkimbizi wa Ubelgiji kwenye uchaguzi wa 2020.
 
Mambo ya uwimbombo na ulindi ya nini?
 
Historia ni muhimu kwaajili ya baadae, mfano historia aliyotuachia mwendazake ni muhimu kukumbukwa ili siku za baadae tusifanye makosa tena.
kila sehemu unahisi mwendazake yupo.

akili zako zinataka umsahau,ila mattako yako yanatikisika kukumbusha huwezi msahau.

yess,ndio maama tunasema hawezi sahaulika.ila mnapenda ubishi tu.
 
kila sehemu unahisi mwendazake yupo.

akili zako zinataka umsahau,ila mattako yako yanatikisika kukumbusha huwezi msahau.

yess,ndio maama tunasema hawezi sahaulika.ila mnapenda ubishi tu.
Kufa mfate
 
Hamna haja ya kufundishwa mashuleni. Historia za kina Chief Mangungo na Kinjikitile za nini kwa sasa?
Ziandikwe na kusomwa kwenye vitabu ila sio kufundishwa mashuleni mnawaongezea vijaba wetu mizigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…