Msemaji wa chama kipi ni kijana?Kweli siasa ni mchezo wa kitoto, mbona hicho cheo huwa ni cha vijana? Leo msemaji wa Chama kuwa babu,
Matokeo ya Mbowe form six ndio ya Sendeka!Ninahitaji kujua kiwango cha Elimu cha Ole Sendeka
Kweli siasa ni mchezo wa kitoto, mbona hicho cheo huwa ni cha vijana? Leo msemaji wa Chama kuwa babu,
Matokeo ya Mbowe form six ndio ya Sendeka!
Mkuu kwenye siasa za Tanzania sidhani kama elimu inasimama hapo katikati, tena zaidi ukiwa CCM, maana wanayofanya wasomi wetu walioko chamani, utadhani hawakuliona darasa.Ninahitaji kujua kiwango cha Elimu cha Ole Sendeka
Ndo mana wanasema Ole Sendeka alitaga yai form six?Mkuu kwenye siasa za Tanzania sidhani kama elimu inasimama hapo katikati, tena zaidi ukiwa CCM, maana wanayofanya wasomi wetu walioko chamani, utadhani hawakuliona darasa.
Ni kweli kuwa Sendeka alitaga form six?Matokeo ya Mbowe form six ndio ya Sendeka!
ha ha ha watu mna majibu humuKama haelewi Mwambie kigezo cha kuwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa kwa CCM unakuwa Msemaji tu wa Chama!
Aliyekuwepo kabla ya Nape Unamfahamu au unaongelea ujana gani, kabla ya Nape alikuwepo mzee Kepteni flani.Kweli siasa ni mchezo wa kitoto, mbona hicho cheo huwa ni cha vijana? Leo msemaji wa Chama kuwa babu,
Ninahitaji kujua kiwango cha Elimu cha Ole Sendeka