Marekani Polisi wamewakamata waandamaji 112 wanaompinga Trump, kati yao takribani 70 hawajapiga kura uchaguzi wa Rais wa hivi karibuni.
Yaani mtu hajapiga kura lakini anakuwa mstari wa mbele kuandamana, je, nalo hili litakuwa ukosefu wa ajira unaowakumbumba vijana wengi walioko US.
Nimegundua ukiona vya elea vimeumbwa.
Yaani mtu hajapiga kura lakini anakuwa mstari wa mbele kuandamana, je, nalo hili litakuwa ukosefu wa ajira unaowakumbumba vijana wengi walioko US.
Nimegundua ukiona vya elea vimeumbwa.