Kumbe hata zamani punyeto ilikuwepo

Kumbe hata zamani punyeto ilikuwepo

k8707432.jpg
Nimekupa muda wa siku mbili uje kuthibitisha unachokisema umeshindwa siku nyingine kabla hujacomment tumia busara! kuna mahali nilisema sio njia mbili au nilisema bikra ikiondoka uwezo wa kuchimba kisima unapungua! unajua kwanini kisima kilikuwa kinachimbika! msiwe na dharau za kijinga!

Kaka umefanya sehemu yako...wenye akili tumekuelewa...usipoteze energy yako...by the way..jana ulichinja??
 
Kaka umefanya sehemu yako...wenye akili tumekuelewa...usipoteze energy yako...by the way..jana ulichinja??

Jana bwana ilikuwa hainihusu kivile japo kiaina nimeshiriki kutoifanya familia kusononeka!! sina shaka kama wewe hujachinja!! si unajua nilipoona wamefika watatu nikaona hapa ushahidi lazima tena wa kutosha ndiomana nikaleta hizo picha za x-ray!
 
Hahaha!Siku ukiujua ukweli utanitafuta.hakuna uhusiano kati ya hymen na female urethra.
 
Mkuu usikariri tu, changamsha ubongo wako kwa kusoma mambo mbali mbali...

Sheep Gut Condoms

What are they used for?
To prevent venereal disease or pregnancy.

When were they used?
Around the Victorian Era.

How to make them (as of 1824):
kaka unajua watanzania sijui tukoje, mtu anabisha tu hata haombi vithibitisho kuna wakati hata akiomba anakuwa anajitia kujua sana na pengine anakutusi duh! lazima hii jamii ifike mahala ibadilike ndugu!!!!!!!!!!
 
Jana bwana ilikuwa hainihusu kivile japo kiaina nimeshiriki kutoifanya familia kusononeka!! sina shaka kama wewe hujachinja!! si unajua nilipoona wamefika watatu nikaona hapa ushahidi lazima tena wa kutosha ndiomana nikaleta hizo picha za x-ray!

mimi jana kama wewe, lkn nimechinja mnyama mwenye miguu miwili...LOL
 
Wakati mwingine mtu anashindwa kabisa kupata usingizi mpaka upige moja-mbili ndio usingizi unakuja au asubuhi unajisikia mzito kuamka kitandani mpaka upige moja ndio nguvu zinakuja…hasa kama umezoea dozi za maana lakini sasa mpenzi hayupo karibu.
Juzi nilikuwa na babu nyumbani kwake huko kijijini, baada ya kula mbuzi wake nilimpa muda mwingi wa kukaa nami na kupiga stori lakini kikubwa aliniulizia habari za kuoa mambo mengine kama hayo. Alinishangaa umri wote huu silipi nafasi nafasi kubwa swala hilo!!!!!
Akaanza kusema au unatumia nzi? nami nikamwambia nzi! akasema eh maana sisi zamani kumpata msichana halikuwa jambo jepesi,alisema wasichana walikuwa ni wagumu sana analindwa na familia yake, ukoo mpaka kijiji kizima. Kupata nafasi hata ya kuzungumza naye si kitu rahisi hata ukiongea naye kukubalia ilikuwa si jambo jepesi hata kidogo! Waganga nao walikuwepo unaenda kuomba dawa ya kutongoza anakupa mzizi uweke chini ya ulimi unapoenda ku-seduce binti! lakini zilikua za uongo tu!
Kifupi anasema wao mwanzoni ulikuwa unamvizia binti unaye mpenda akitoka kukojoa kabla mkojo haujakauka kwenye kisima kilicho chimbwa na mkojo wake unado pale unamaliza!
kisima ilikuwa mara nyingi lazima kijichimbe maana mabinti wa wakati huo walikuwa mabikira (small area(tundu dogo) pressure inakuwa kubwa)
Lakini baadae wakamodify wakawa wanachukua nzi kazaa wanawaweka kwenye kimfuko cha plastic(kama kentozi) sehemu ya mdomo wa ule mfuko wanafunga kwenye kichwa cha jamaa yetu yule kadri nzi wanavyo jaribu kuruka wanatekenya mambo huku mtu anaweka feeling kwa mrembo yeyote anamaliza! ila hii njia naona kama haina madhara kabisa kama ilivyo kwa sabuni na mafuta!


hapo babu alikudanganya mkuu.....................
sehemu ya kutolea mkojo , ipo nje ya sehemu inayogegedwa...........
 
Mkulu

Usikatae moja kwa moja kwani katika hilo alosema la "the smaller the area, the bigger the pressure" nimeshasikia pia kwamba enzi hizo ilikuwa ni kipimo cha viginity...

binti akichimba shimo watu wazima wanajua yessss....wakikuta bwawa...watu aahhh...
kama na wewe unaamini hivyo sawa tu.sina usemi.ila nawashauri muwaulize mabinti.
 
ndio maana nilikubali kirahisi nikijua hawezi kuthibitisha! anashindwa kujua hymen ina play part gani! katika hili na hayo matundu mawili la mkojo na la hedhi yana tengania wapi na pipe ina haribuje eneo hilo? kakimbia hajarudi anajitia kasoma! wenzio wanazo wamekalia wanajua ukiwa hujaharibiwa kojo linatoka vipi na ukisha legea mambo yanakuaje?
Watakucheka watu!hebu ipeleke topic hii JF doctors upate msaada.
 
k8707432.jpg
Nimekupa muda wa siku mbili uje kuthibitisha unachokisema umeshindwa siku nyingine kabla hujacomment tumia busara! kuna mahali nilisema sio njia mbili au nilisema bikra ikiondoka uwezo wa kuchimba kisima unapungua! unajua kwanini kisima kilikuwa kinachimbika! msiwe na dharau za kijinga!
pole sana ndugu yangu kwa kutojua.mie sitakutukana kama ulivyoniita mie mjinga.Nadhani picha hazitoshi sana kukusaidia.I wish ningekupeleka kwenye cadava ukaone tofauti ya hymenal ring na urethra.hizi ni sehemu mbili tofauti.hata usiponiamini.Hizi ni picha tu, ila kitu halisi kiko tofauti.Mods naombi mniwie radhi kwakuweka picha hii, inabidi nifundishe mtu hapa asije akachekwa na watu.baada ya maelezo haya unawezaukaendelea kunitukana vyovyote upendavyo.
 
pole sana ndugu yangu kwa kutojua.mie sitakutukana kama ulivyoniita mie mjinga.Nadhani picha hazitoshi sana kukusaidia.I wish ningekupeleka kwenye cadava ukaone tofauti ya hymenal ring na urethra.hizi ni sehemu mbili tofauti.hata usiponiamini.Hizi ni picha tu, ila kitu halisi kiko tofauti.Mods naombi mniwie radhi kwakuweka picha hii, inabidi nifundishe mtu hapa asije akachekwa na watu.baada ya maelezo haya unawezaukaendelea kunitukana vyovyote upendavyo.
Japo kuwa ni picha ya kuchorwa! naomba uitazame kwa makini sana alafu uthibitishe kuwa kingozi cha bikra (hymen) hakijafika kwenye tundu la mkojo (urethra), ambapo huwa na kimlango kidogo cha pamoja cha kutoa hedhi na maji maji kama maji yaliyo oshewa mchele (ute) na huo mkojo wenyewe!
Hiyo ni iimani yangu juu ya eneo hilo kwani zamani watu walipima bikra kwa mkojo ukichimba kisima watu huamini huyu ni bikra lakini likitoka bwaa basi hujua huyu tiari!
wewe unafikiri ili mkojo uchimbe hicho kishimo nini kinafanyika na kwa nini pasipo bikra hakichimbiki! Tokea awali narudia kusema huo ni mtazamo wangu! ila nashukru kujitokeza na kuleta ushahidi wako! Ukipata majibu usisite kuleta hapa hata kama yanapingana na wewe! ila lugha ya kistaarabu nahisi ni mhimu!
 
Khaaaaaaa! Nzi walikuwa namajukumu mengi nyakati hizo. Huwezi kushtakiwa kwa kufanya ngono na mdudu maana ngono na wanyama tayari ni kosa kisheria!
Wakati mwingine mtu anashindwa kabisa kupata usingizi mpaka upige moja-mbili ndio usingizi unakuja au asubuhi unajisikia mzito kuamka kitandani mpaka upige moja ndio nguvu zinakuja…hasa kama umezoea dozi za maana lakini sasa mpenzi hayupo karibu.
Juzi nilikuwa na babu nyumbani kwake huko kijijini, baada ya kula mbuzi wake nilimpa muda mwingi wa kukaa nami na kupiga stori lakini kikubwa aliniulizia habari za kuoa mambo mengine kama hayo. Alinishangaa umri wote huu silipi nafasi nafasi kubwa swala hilo!!!!!
Akaanza kusema au unatumia nzi? nami nikamwambia nzi! akasema eh maana sisi zamani kumpata msichana halikuwa jambo jepesi,alisema wasichana walikuwa ni wagumu sana analindwa na familia yake, ukoo mpaka kijiji kizima. Kupata nafasi hata ya kuzungumza naye si kitu rahisi hata ukiongea naye kukubalia ilikuwa si jambo jepesi hata kidogo! Waganga nao walikuwepo unaenda kuomba dawa ya kutongoza anakupa mzizi uweke chini ya ulimi unapoenda ku-seduce binti! lakini zilikua za uongo tu!
Kifupi anasema wao mwanzoni ulikuwa unamvizia binti unaye mpenda akitoka kukojoa kabla mkojo haujakauka kwenye kisima kilicho chimbwa na mkojo wake unado pale unamaliza! kisima ilikuwa mara nyingi lazima kijichimbe maana mabinti wa wakati huo walikuwa mabikira (small area(tundu dogo) pressure inakuwa kubwa)
Lakini baadae wakamodify wakawa wanachukua nzi kazaa wanawaweka kwenye kimfuko cha plastic(kama kentozi) sehemu ya mdomo wa ule mfuko wanafunga kwenye kichwa cha jamaa yetu yule kadri nzi wanavyo jaribu kuruka wanatekenya mambo huku mtu anaweka feeling kwa mrembo yeyote anamaliza! ila hii njia naona kama haina madhara kabisa kama ilivyo kwa sabuni na mafuta!

 
Khaaaaaaa! Nzi walikuwa namajukumu mengi nyakati hizo. Huwezi kushtakiwa kwa kufanya ngono na mdudu maana ngono na wanyama tayari ni kosa kisheria!

enzi hizo bwana sheria hazikuwabana sana watu wengi walikua wajinga na pengine hata ubakaji ulifanyika na wanyama watakuwa walikandamizwa sana kama papuch zenyewe ilikua ni taabu kiasi hicho!
 
Japo kuwa ni picha ya kuchorwa! naomba uitazame kwa makini sana alafu uthibitishe kuwa kingozi cha bikra (hymen) hakijafika kwenye tundu la mkojo (urethra), ambapo huwa na kimlango kidogo cha pamoja cha kutoa hedhi na maji maji kama maji yaliyo oshewa mchele (ute) na huo mkojo wenyewe!
Hiyo ni iimani yangu juu ya eneo hilo kwani zamani watu walipima bikra kwa mkojo ukichimba kisima watu huamini huyu ni bikra lakini likitoka bwaa basi hujua huyu tiari!
wewe unafikiri ili mkojo uchimbe hicho kishimo nini kinafanyika na kwa nini pasipo bikra hakichimbiki! Tokea awali narudia kusema huo ni mtazamo wangu! ila nashukru kujitokeza na kuleta ushahidi wako! Ukipata majibu usisite kuleta hapa hata kama yanapingana na wewe! ila lugha ya kistaarabu nahisi ni mhimu!
Hahahah!au ndugu yangu unafikiri hymen ikitolewa inajikuja kama bati?kawaida kuwa inachanika tu, bila hata kufika kwenye urethra, kwa hiyo a stream of urine will not change.Ingekuwa inapinda kama bati then concept yako ingekubalika hapa.Nakushauri uwaulize akina dada wakusaidie kukueleza kama wameona mabadiliko yoyote ya urine stream, after disruption of hymen.
 
Hahahah!au ndugu yangu unafikiri hymen ikitolewa inajikuja kama bati?kawaida kuwa inachanika tu, bila hata kufika kwenye urethra, kwa hiyo a stream of urine will not change.Ingekuwa inapinda kama bati then concept yako ingekubalika hapa.Nakushauri uwaulize akina dada wakusaidie kukueleza kama wameona mabadiliko yoyote ya urine stream, after disruption of hymen.
Wenyewe hawajui kama kuna tofauti ya ukojoaji alipokua bikra na sasa! si unajua siku hizi zinatolewa wakiwa bado wanacheza kombolela! japo maelezo yote ya hymen nimesoma yanakusapoti wewe ila swali langu kwa nini kuna huo utofauti wa utokaji wa mkojo?
 
Wenyewe hawajui kama kuna tofauti ya ukojoaji alipokua bikra na sasa! si unajua siku hizi zinatolewa wakiwa bado wanacheza kombolela! japo maelezo yote ya hymen nimesoma yanakusapoti wewe ila swali langu kwa nini kuna huo utofauti wa utokaji wa mkojo?

Najua hakuna tofauti ya utokaji wa mkojo.labda nianze kuwauliza akina Dada kwa kuwa kitaalamu hakuna kitu cha namna hiyo
 
ama kweli shule ni mwalimu.hapo kwenye maandishi makubwa kunaonesha asivyojua maumbile ya mwanamke.Anafikiri njia ya mkojo ni sawa na genital tract.

mkuu, wewe hapo ndo unahtaji shule, unapokua unaingiza niaje yako kweny vegina ni kama unaingia kweny korido kabla hujaingia kwny chumba husika, kuhusu pressure ni kweli
 
Back
Top Bottom