julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
- Thread starter
- #21
Haya bwana tupatie hiyo elimu wala hilo sibishi ntakuwa wa ajabu nikibisha kitu nisicho kifahamu, nilitumia knowledge yangu kusema hivyo naomba marekebisho yako hapa!ama kweli shule ni mwalimu.hapo kwenye maandishi makubwa kunaonesha asivyojua maumbile ya mwanamke.Anafikiri njia ya mkojo ni sawa na genital tract.