Elections 2010 Kumbe hata January anajua babake mropokaji!?

Labda abadilike katika uropokaji, vinginevyo hana tofauti yoyote na baba ake.
 
Dogo anaonekaanaa ni mropokajii zaidi ya mzee wake na hapo hajapata madaraka ya umma makubwa..

ni kijana na ameonyeshaa ukosefu wa nidhamu kwa mzazi wake je kwa watanzaniaa itakuwajee????

Whaat? ukosefu wa nidhamu? I beg to differ, I think he showed some confidence in himself, he didn't disrespect his father. So you want to tell me, he should've lied or said something to cover up his father? or may be he shouldn't have gone in details and explain exactly what he asked his father, lakini kusema amekosa adabu, ni yale yale ya kuwa na nidhamu ya woga, (especially us), Eti you can't face someone and tell them off even if they're wrong just because they're older than you??!!!. (Ukosefu wa nidhamu my brown ass)
 
Back
Top Bottom