Nadhani aliyeanzisha huu mjadala ndio mtu mwenye bias sio mimi; kuhusu madhehebu ya dini kuona namna ya kumfikia mungu kwa njia zao aiondoi their single 'underlying belief' inayowafanya kuwa wakristo in the first place ambapo god stands for 'universal salvation' kwa hivyo madhehebu ni 'epistemic distances' za mungu; msingi ni ule ule 'universal salvation'. Sasa jinsi gani wanatofautiana I am limited to theodicies perspectives habari za mungu kwanza sijui zinaingia vipi hapa.
Point yangu kubwa hapa ilikuwa UKWELI una upande!...Dr. Slaa anazungumzia UKWELI kwa upande wake(to justify his arguments/..japo hata ukweli wake kwa upande huohuo wa kwake una walakini) ambao sio necessarily ukweli kwa upande wa walioendelea na EL mpaka leo.
Na wewe unarudia makosa yale yale aliyokuwa anayafanyanya mwenzio kwenye kutofautisha vitu viwili tofauti uwezi kutumia maamuzi ambayo yalikuwa based on solipsist za wakati huo za mwalimu kumnadi Mkapa kwa makosa yake ya baadae, unless labda unamini mwalimu alikuwa na godly power za kuweza kutabiri na mbele itakuwaje. Alichoamini na kukitetea wakati huo ni kutokana na uelewa pia wa nyakati hizo.
Hapa hukunielewa..(na hii ndio niliyokuja ku'conclude nayo mwishoni...that we should belive in institutions than individuals.....Kwamba yaliyomfikisha Mkapa mchapakazi na muadilifu aliyeaminiwa na kupigiwa kampeni na Nyerere hatuwezi kujiaminisha leo kwamba hayawezi kumkuta Magufuli leo!....hii lesser evil ya Dr Slaa hapa ameiweka kwa mtu sio kwa Chama na mifumo ambayo chama kimeijenga tangu uhuru....huyu mtu kawekwa kwenye hiyo nafasi na watu haohao.....huyu mtu atawezaje kuwabadilisha waliomweka hapo?anaowatukuza kwamba ndo waliomlea na kumfikisha hapo alipo?atawezaje kubadilisha mfumo uliowekwa na chama chake kwa muda wote huo?...kama Mkapa alishindwa tuna guarantee gani kwamba huyu katika chama kilekile na watu walewale ataweza?
This was not the argument presented na mleta mada kwenye kukataa hitimisho la Dr.Slaa na choices alizoitimisha mpaka kuchagua the lesser eveil, it is an additional point to counter argue. Hakuna logical consistency na kilocho ongelewa sophistry implied in time lag-argument kwa hivyo aihusiani na sababu za maamuzi ya Dr.Slaa on why Lowassa is the bad choice.