Kumbe falsafa ni rahisi hivi?

Kumbe falsafa ni rahisi hivi?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,866
Reaction score
4,252
Dk Slaa kasema wao kama wanafalsafa wanapoletewa mambo mawili mabovu na kuambiwa kuchagua basi huchagua lile lililo nafuu ya ubovu na kuachana na lile lililo bovu kabisa.

Na mimi nisiye mwanafalsafa kama yeye/wao kwanza nitahoji sababu ya ubovu. Nikigundua ni mfumo halafu kile kilicho na ahueni bado kipo katika mfumo ule mbovu kabisa (chooni), na kile kibovu kabisa kipo katika mfumo ahueni (chumbani), na kuna uwezekano wa kuhuisha kile kibovu, basi nitachagua kile kibovu. Huo ndio uelewa wangu dhidi ya falsafa yao/yake
 
haha kwakwe UKWELI NDIO HUWA NA PANDE sio PANDE NDIO HUFUATA UKWELI na pia anayeangalia ukweli ndie anaweza angalia kwa upande na mitizamo atakayo yeye ila UKWELI unabaki pale pale.
 
Na hakuna maamuzi sahihi bali mazingira sahihi
 
Dk Slaa kasema wao kama wanafalsafa wanapoletewa mambo mawili mabovu na kuambiwa kuchagua basi huchagua lile lililo nafuu ya ubovu na kuachana na lile lililo bovu kabisa.

Na mimi nisiye mwanafalsafa kama yeye/wao kwanza nitahoji sababu ya ubovu. Nikigundua ni mfumo halafu kile kilicho na ahueni bado kipo katika mfumo ule mbovu kabisa (chooni), na kile kibovu kabisa kipo katika mfumo ahueni (chumbani), na kuna uwezekano wa kuhuisha kile kibovu, basi nitachagua kile kibovu. Huo ndio uelewa wangu dhidi ya falsafa yao/yake

nikiangalia hilo bichwa lako hapo, sishangazwi na hicho ulichokielewa!
 
Ujaitendea haki kauli ya Dr.Slaa wala wewe mwenyewe, Dr.Slaa alitoa ufafanuzi mrefu na sababu zake (unaweza kubaliana naye au usikubaliane) ni kwenye kuitimisha tu ndio alipotumia falsafa ingawa katika maelezo yake vyote viwili ni vibovu kama kuchagua kibovu kimoja basi kile kinacholeta more utility than the other kwenye jamii.

Sidhani kama unaweza kumpinga bila ya maelezo ya kile alichokisema kwakutumia mifano ya chooni ya na chumbani hakuna logic of his argument at all hapo; unatakiwa ujibu hoja zake za awali kwanza na ubadilishe in terms of utility pia kusema kwanini hicho kobovu kingine ndio bora zaidi (that is the philosophical reasoning).

Sio rahisi kama unavyodhani wewe.
 
Ujaitendea haki kauli ya Dr.Slaa wala wewe mwenyewe, Dr.Slaa alitoa ufafanuzi mrefu na sababu zake (unaweza kubaliana naye au usikubaliane) ni kwenye kuitimisha tu ndio alipotumia falsafa ingawa katika maelezo yake vyote viwili ni vibovu kama kuchagua kibovu kimoja basi kile kinacholeta more utility than the other kwenye jamii.

Sidhani kama unaweza kumpinga bila ya maelezo ya kile alichokisema kwakutumia mifano ya chooni ya na chumbani hakuna logic of his argument at all hapo; unatakiwa ujibu hoja zake za awali kwanza na ubadilishe in terms of utility pia kusema kwanini hicho kobovu kingine ndio bora zaidi (that is the philosophical reasoning).

Sio rahisi kama unavyodhani wewe.

in philosophy there is no ceteris peribus. no subjectivity. Dk alifanya kinyume chake. He held other things constant while attacking his subject
 
in philosophy there is no ceteris peribus. no subjectivity. Dk alifanya kinyume chake. He held other things constant while attacking his subject
Hapana ni wewe ndio unayeanzisha mjadala with every thing being constant na hoja za mwenzako.

Aliyoyasema Dr.Slaa tunakipa base ya veridical experience to form reasons kutokana na kwamba alikuwa kiongozi wa chama na mtu aliekuwa anapigania mabadiliko hivyo argument zake ni inductive of that experience and substance on what transpired kwenye uteuzi wa Lowassa.

Kwa maana hiyo uwezi ku-simply jibu la philosophical conclusion alilokuja nalo without your own argument (kama ulivyosema hakuna unchangeable truth) lakini tutajaji kauli zako za mtazamo tofuati kupitia deductive arguments za hoja ya Dr.Slaa, or contingent truth ya kile alichosema Dr.Slaa or even a necessary truth.

Ndio maana philosophy inajibiwa kwa hoja kanushi au ukweli mwignine kutokana na kilichosemwa sio mtu kudhania hoja fulani aifai tu bila ya maelezo ya misingi ya hoja ya awali.
 
Hapana ni wewe ndio unayeanzisha mjadala with every thing being constant na hoja za mwenzako.

Aliyoyasema Dr.Slaa tunakipa base ya veridical experience to form reasons kutokana na kwamba alikuwa kiongozi wa chama na mtu aliekuwa anapigania mabadiliko hivyo argument zake ni inductive of that experience and substance on what transpired kwenye uteuzi wa Lowassa.

Kwa maana hiyo uwezi ku-simply jibu la philosophical conclusion alilokuja nalo without your own argument (kama ulivyosema hakuna unchangeable truth) lakini tutajaji kauli zako za mtazamo tofuati kupitia deductive arguments za hoja ya Dr.Slaa, or contingent truth ya kile alichosema Dr.Slaa or even a necessary truth.

Ndio maana philosophy inajibiwa kwa hoja kanushi au ukweli mwignine kutokana na kilichosemwa sio mtu kudhania hoja fulani aifai tu bila ya maelezo ya misingi ya hoja ya awali.

Kama nilivyosema awali mi sio mwanafilosofia kwa vigezo vya wenyewe. Dk kashindwa kutuaminisha kuwa tatizo ni mfumo. kaegemea kwenye hoja ya mtu binafsi na harakati za kumwangusha. Dk anafanana na mtu aliyepata ajali kisha pande kubwa la kumbukumbu likameguka toka katika ubongo wake na kubakia na richmond. Atueleze na ubovu kidogo wa huyo mwingine kisha nasi tupime. Otherwise he is obsessed with his former party that he cannot survive seeing it surviving.
 
Kama nilivyosema awali mi sio mwanafilosofia kwa vigezo vya wenyewe.
Amazing kwanza unakiri ujui kuangalia argument kwa mtazamo wa philosophy ilhali unataka kumkosoa mtu kwa mtazamo wake wa kifolosofia sasa kama hoja yenyewe imechanganya sehemu nyingi za philosophical reasoning what gives you the right kusema filosofia ni rahisi mtazamo wa Dr.Slaa sio rahisi. Free advise walau basi pitia epistemology ili upate mwanzo there are hundred of simplified articles to give you a start kuliko huku kuendelea kujichanganya unakofanya.

Dk kashindwa kutuaminisha kuwa tatizo ni mfumo. kaegemea kwenye hoja ya mtu binafsi na harakati za kumwangusha.
As days goes such reasoning (ur above point) is becoming the UKAWA syndrome, kuna tofauti kubwa sana kati ya 'perception illusion' yako na 'philosophical direct realism' kwenye hoja za Dr.Slaa.

Rejea his list of shame (as a priori) na huyo mtu uoni tayari anakuwa mediated na ufisadi kutokana orodha aliyoitamka Dr.Slaa hadharani. kwa hivyo judgement zako ni illusion ya kile ambacho unadhani watu wanalazima ya kukiongelea wanapotakiwa kukosoa wengine (ambacho ni system kwa mtazamo). That is not a refutation of the context za hoja yenyewe bali hallucination za hoja zako tofauti kabisa na kilicho jengewa hoja.

Dk anafanana na mtu aliyepata ajali kisha pande kubwa la kumbukumbu likameguka toka katika ubongo wake na kubakia na richmond.
Evidence so far zinaonyesha ni wewe ambaye umekuwa so brainwashed kiasi kwamba unataka kusikia vitu vinavyo kufurahisha wewe tu.

Atueleze na ubovu kidogo wa huyo mwingine kisha nasi tupime. Otherwise he is obsessed with his former party that he cannot survive seeing it surviving.
Ameeleza kwa kusema alipotokea mgombea wenu, isipokuwa yeye ndio alikuwa kinara wa dili nyingi ata akiwa upande wa pili making him even more untrustworthy.
 
Amazing kwanza unakiri ujui kuangalia argument kwa mtazamo wa philosophy ilhali unataka kumkosoa mtu kwa mtazamo wake wa kifolosofia sasa kama hoja yenyewe imechanganya sehemu nyingi za philosophical reasoning what gives you the right kusema filosofia ni rahisi mtazamo wa Dr.Slaa sio rahisi. Free advise walau basi pitia epistemology ili upate mwanzo there are hundred of simplified articles to give you a start kuliko huku kuendelea kujichanganya unakofanya.

As days goes such reasoning (ur above point) is becoming the UKAWA syndrome, kuna tofauti kubwa sana kati ya 'perception illusion' yako na 'philosophical direct realism' kwenye hoja za Dr.Slaa.

Rejea his list of shame (as a priori) na huyo mtu uoni tayari anakuwa mediated na ufisadi kutokana orodha aliyoitamka Dr.Slaa hadharani. kwa hivyo judgement zako ni illusion ya kile ambacho unadhani watu wanalazima ya kukiongelea wanapotakiwa kukosoa wengine (ambacho ni system kwa mtazamo). That is not a refutation of the context za hoja yenyewe bali hallucination za hoja zako tofauti kabisa na kilicho jengewa hoja.

Evidence so far zinaonyesha ni wewe ambaye umekuwa so brainwashed kiasi kwamba unataka kusikia vitu vinavyo kufurahisha wewe tu.

Ameeleza kwa kusema alipotokea mgombea wenu, isipokuwa yeye ndio alikuwa kinara wa dili nyingi ata akiwa upande wa pili making him even more untrustworthy.
Kinara wa dili nyingi katika mfumo upi? Kwa nini tusiamini kuwa alikuwa ni chambo? kwa nini tusiamini kuwa wakubwa wake walihusika kwa asilimia mia?

naweza kuifahamu filosofi ila si kwa njia hii ya kinadharia na kimaandishi. Hizo branch za falsafa ni matunda tu ya maisha halisi. Hivi ni nani asiejua kuwa kuna tofauti ya vitu? kwamba kuna kizuri na kibaya, bora na hafifu? Inahitaji filosofi (hiyo ya kina Dk Slaa) kuniaminisha kuwa kibovu na kibovu sana vina tofauti? Kadhalika bado inabaki pale kwa mtazamo wa Dk kuwa ubovu na ubovu sana ni dhana binafsi tu kwa maslahi binafsi. Huwezi leo ukatoka ukaenda kukaa na hasimu wako (Dk Mwakyembe) kwa ajili ya ku update hoja za kumshambulia mtu ambaye siku chache zilizopita alimkaribisha akitaka uthibitisho kuwa huyu ni asset au liability. Kama alijua ni liability kwa nini alipoteza muda kulumbana na wenzake hadi wakahasimiana? Kama alijua ni liability kwa nini alitaka Lowassa ajisafishe? kwa nini alienda kwa Mwakyembe kutafuta hoja za ziada? Swaki jepesi tu. Hivi Lowassa angekuwa bado yuko ccm na Dk Slaa akataka ku update hoja zake juu ya Richmond dhdi ya Lowassa, Mwakyembe angemkubalia? Over his dead body. Ndio maana nikasema Dk yuko subjective relative to his current political situation. Hata wanasayansi hujifunza toka kwa wadudu, so sishangai unapotumia lugha ngumu kueleza jambo ambalo ni basic sana.

Na katika hizo hoja za Richmond si kweli kwamba Mwakyembe ndiye source. He was a data collector and compiler. Source ni huko data zilikotoka.
 
Ni hivi alichoongea Dr.Slaa ungeweza kukianzishia mjadala mwingine wa kisiasa kama thread nyingi zilizofanya humu JF, lakini ukitaka ufafanuzi wa hoja zake kwa namna ya philosophy lazima ujibu kwa nadharia za filosofia pia sio kuanza na mambo ya sijui siitaji kujua hiki au kile kinadharia if anything kwanini sasa ulisema Dr.Slaa hitimisho lake sio lazima liwe sahihi kwa hoja alizojenga iwapo wewe mwenyewe ujakanusha alichosema hili tupime ukweli mwingine kwa kile kilichoongelewa.
Kinara wa dili nyingi katika mfumo upi? Kwa nini tusiamini kuwa alikuwa ni chambo? kwa nini tusiamini kuwa wakubwa wake walihusika kwa asilimia mia?
This is just a sophistry argument aina ukweli na kile kilichojengewa hoja uliyosema yanaweza kuangalia vingine. Hapa unachofanya wewe ni kuongezea tu argument kutaka kukosoa hoja za awali vitu ambavyo avikugusiwa katika itimisho la Dr.Slaa such argument are invalid in counter arguments.

naweza kuifahamu filosofi ila si kwa njia hii ya kinadharia na kimaandishi. Hizo branch za falsafa ni matunda tu ya maisha halisi. Hivi ni nani asiejua kuwa kuna tofauti ya vitu? kwamba kuna kizuri na kibaya, bora na hafifu? Inahitaji filosofi (hiyo ya kina Dk Slaa) kuniaminisha kuwa kibovu na kibovu sana vina tofauti?
Si unaona sasa unavyopotoka wewe ndio awali uliosema kwenye philosophy aina maana itimisho la mtu ndio ukweli pekee, the alternative could be right too. On that note why would you at the same time believe your fallibility is the other truth without any attempt to give us the contingent explanation on what was said? Kwanini na mimi nisiamini wewe unapotoka au umetumwa na UKAWA kumponda Dr.Slaa maana hoja zako azina base. Well labda ndio maana badala ya watu kudhania wanajua tu vitu wanaamua pia kusoma ili waweze jitendea haki kwa kile wanachobishia sasa wewe mwenzetu una amini auna sababu ya kujifunza nadharia za philosophy wakati kila unapoandika unazidi kuwa mbali na philosophical reasoning and justification.

Kadhalika bado inabaki pale kwa mtazamo wa Dk kuwa ubovu na ubovu sana ni dhana binafsi tu kwa maslahi binafsi. Huwezi leo ukatoka ukaenda kukaa na hasimu wako (Dk Mwakyembe) kwa ajili ya ku update hoja za kumshambulia mtu ambaye siku chache zilizopita alimkaribisha akitaka uthibitisho kuwa huyu ni asset au liability
Again that is just part of your sophistry kwenye kutaka kumchafua tena yenye misingi ya illusion tu na sio ukweli. Kwanza kwa historia yake tu Dr.Slaa alikuwa ni padre sasa tunajua padre anaishi na anafundisha kutokana na church dogmas/tenets ambazo anajifunza therefore those introjection values ata asipokuwa padre zitabaki. Kwanini usiseme na yeye pia kujitokeza kwake kutokana na maelezo ya natural law ni kwa sababu determinism principles kama moral duty aliyokuwa nayo awali kama kiongozi wa kanisa, political struggles ya kupambana na mafisadi ndio msukumo uliomfanya kumnanga Lowassa at least that has philosophical reasoning kuliko ulichosema wewe.

Kama alijua ni liability kwa nini alipoteza muda kulumbana na wenzake hadi wakahasimiana? Kama alijua ni liability kwa nini alitaka Lowassa ajisafishe?
Mbona motive pia hiko wazi si yeye mwenyewe pia alikiri yakuwa ni binadamu kuna kitu kinaitwa causality effects, kama ulivyoelezea the other side of the outcome ni kwamba asinge enguliwa kwenye nafasi yake ya kugombea pia asingeyasema hayo maswala (that just the principles of cause and effect).

kwa nini alienda kwa Mwakyembe kutafuta hoja za ziada? Swaki jepesi tu. Hivi Lowassa angekuwa bado yuko ccm na Dk Slaa akataka ku update hoja zake juu ya Richmond dhdi ya Lowassa, Mwakyembe angemkubalia?
Alikuwa anamnanga Lowassa kuhusu Richmond who else is more qualified to talk about it kama sio Mwakyembe sasa kama unataka kupata empirical evidence za Richmond amtafute Gwajima pia wakati huyo role yake ni kufanya fitna kwenye siasa. Kila mtu ana nafasi yake akitaka kujua kuhusu shoddy dealings za Lowassa mtu wa kumtafuta ni Rostam Aziz akiwa tayari kuongea thats just part of finding logical necessity ndio maana kukawa na tofauti pia ya hitimisho kati yako na Dr.Slaa wakati yeye anafanya vitu kisayansi na kuitimisha kisayansi wewe unajibunia tu kila kitu kutoka kwenye kichwa chako.

Over his dead body. Ndio maana nikasema Dk yuko subjective relative to his current political situation. Hata wanasayansi hujifunza toka kwa wadudu, so sishangai unapotumia lugha ngumu kueleza jambo ambalo ni basic sana.
Ok this is just too much kuna mdudu aliyeandika kitabu vinginevyo wanasayansi awawezi kujifunza kwa wadudu wanachofanya ni observation ya animal behaviours tu at the end they have to hypothesize those findings na si kila kitu kinakubaliwa.
 
Mtu mzuri ndani ya mfumo mbovu ana uwezo wa kuurekebisha mfumo na hatimaye kuwa mzuri zaidi. lakini kuwa na mtu mbovu ndani ya mfumo unaodhaniwa kuwa ni mzuri ni sawa na kuwa na timu nzuri lakini golikipa wake ni kipofu.

hatumchagui huyo mtu wenu, kura zetu zote ni kwa Magufuli
 
Ni hivi alichoongea Dr.Slaa ungeweza kukianzishia mjadala mwingine wa kisiasa kama thread nyingi zilizofanya humu JF, lakini ukitaka ufafanuzi wa hoja zake kwa namna ya philosophy lazima ujibu kwa nadharia za filosofia pia sio kuanza na mambo ya sijui siitaji kujua hiki au kile kinadharia if anything kwanini sasa ulisema Dr.Slaa hitimisho lake sio lazima liwe sahihi kwa hoja alizojenga iwapo wewe mwenyewe ujakanusha alichosema hili tupime ukweli mwingine kwa kile kilichoongelewa.
This is just a sophistry argument aina ukweli na kile kilichojengewa hoja uliyosema yanaweza kuangalia vingine. Hapa unachofanya wewe ni kuongezea tu argument kutaka kukosoa hoja za awali vitu ambavyo avikugusiwa katika itimisho la Dr.Slaa such argument are invalid in counter arguments.

Si unaona sasa unavyopotoka wewe ndio awali uliosema kwenye philosophy aina maana itimisho la mtu ndio ukweli pekee, the alternative could be right too. On that note why would you at the same time believe your fallibility is the other truth without any attempt to give us the contingent explanation on what was said? Kwanini na mimi nisiamini wewe unapotoka au umetumwa na UKAWA kumponda Dr.Slaa maana hoja zako azina base. Well labda ndio maana badala ya watu kudhania wanajua tu vitu wanaamua pia kusoma ili waweze jitendea haki kwa kile wanachobishia sasa wewe mwenzetu una amini auna sababu ya kujifunza nadharia za philosophy wakati kila unapoandika unazidi kuwa mbali na philosophical reasoning and justification.

Again that is just part of your sophistry kwenye kutaka kumchafua tena yenye misingi ya illusion tu na sio ukweli. Kwanza kwa historia yake tu Dr.Slaa alikuwa ni padre sasa tunajua padre anaishi na anafundisha kutokana na church dogmas/tenets ambazo anajifunza therefore those introjection values ata asipokuwa padre zitabaki. Kwanini usiseme na yeye pia kujitokeza kwake kutokana na maelezo ya natural law ni kwa sababu determinism principles kama moral duty aliyokuwa nayo awali kama kiongozi wa kanisa, political struggles ya kupambana na mafisadi ndio msukumo uliomfanya kumnanga Lowassa at least that has philosophical reasoning kuliko ulichosema wewe.


Mbona motive pia hiko wazi si yeye mwenyewe pia alikiri yakuwa ni binadamu kuna kitu kinaitwa causality effects, kama ulivyoelezea the other side of the outcome ni kwamba asinge enguliwa kwenye nafasi yake ya kugombea pia asingeyasema hayo maswala (that just the principles of cause and effect).

Alikuwa anamnanga Lowassa kuhusu Richmond who else is more qualified to talk about it kama sio Mwakyembe sasa kama unataka kupata empirical evidence za Richmond amtafute Gwajima pia wakati huyo role yake ni kufanya fitna kwenye siasa. Kila mtu ana nafasi yake akitaka kujua kuhusu shoddy dealings za Lowassa mtu wa kumtafuta ni Rostam Aziz akiwa tayari kuongea thats just part of finding logical necessity ndio maana kukawa na tofauti pia ya hitimisho kati yako na Dr.Slaa wakati yeye anafanya vitu kisayansi na kuitimisha kisayansi wewe unajibunia tu kila kitu kutoka kwenye kichwa chako.

Ok this is just too much kuna mdudu aliyeandika kitabu vinginevyo wanasayansi awawezi kujifunza kwa wadudu wanachofanya ni observation ya animal behaviours tu at the end they have to hypothesize those findings na si kila kitu kinakubaliwa.

Kuna hoja yangu umeipangua. hoja ya source. hata hivyo tukirudi kwenye hoja ya msingi ni kuwa, Dk alisema wao kama wanafalsafa wanapoletewa mambo mawili mabovu huchagua lile lililo na ahueni. Kulikuwa na haja ya kujitapa? Anashindwa kujua kuwa falsafa ni mfumo wa maisha na regardless of his number of degrees. Tukubaliane tu kuwa Dk alikuwa na hasira na focused kwa lowassa. what if ikija kugundulika kuwa richmond ni ya mkubwa? tuna hakika gani kuwa mwakyembe hakubania taarifa kisa tu bado ana mahusiano mazuri na wakubwa? richmond is more than lowassa. Dk slaa should have been objective kwa list yake ya mafisadi
 
hata hivyo tukirudi kwenye hoja ya msingi ni kuwa, Dk alisema wao kama wanafalsafa wanapoletewa mambo mawili mabovu huchagua lile lililo na ahueni. Kulikuwa na haja ya kujitapa?
Si ndio maana akasema akiwa kama mwanafalsa, sasa kama unajua misingi ya 'ethical dilemma' decisions wala usingeuliza na wala watu wasingeangaika kuandika kanuni za utilitarianism decisions dunia ijifunze kwenye kuamua. Kinachoendelea hapa ukuelewa itimisho lake kwa misingi ya falsafa.

Anashindwa kujua kuwa falsafa ni mfumo wa maisha na regardless of his number of degrees. Tukubaliane tu kuwa Dk alikuwa na hasira na focused kwa lowassa
.Kwanini nisiamini wewe ndio mwenye hasira kwakuwa hitimisho la Dr.Slaa alijakufurahisha wewe binafsi.

what if ikija kugundulika kuwa richmond ni ya mkubwa? tuna hakika gani kuwa mwakyembe hakubania taarifa kisa tu bado ana mahusiano mazuri na wakubwa?
Aito ondoa uhalali wa hoja kutokana na evidence alizokuwa nazo wakati anatoa statement yake, akiendelea na hoja ile ile baada ya ushahidi mpya ndio tatizo. Si kuna watu pia wamewahi fungwa na wengine kunyongwa kabisa kisa ushahidi wa muda uliotumika, only later baada ya ushahidi mwignine kuja kufahamika kwamba ilikuwa ni makosa. Kwa maana hiyo hakuna sababu ya watu kuachs kuamua kutokana na ushahidi uliopo.

richmond is more than lowassa. Dk slaa should have been objective kwa list yake ya mafisadi
Kwa hivyo tukuamini wewe usie na ushahidi wowote, kuliko Mwakyembe ama?
 
Si ndio maana akasema akiwa kama mwanafalsa, sasa kama unajua misingi ya 'ethical dilemma' decisions wala usingeuliza na wala watu wasingeangaika kuandika kanuni za utilitarianism decisions dunia ijifunze kwenye kuamua. Kinachoendelea hapa ukuelewa itimisho lake kwa misingi ya falsafa.

.Kwanini nisiamini wewe ndio mwenye hasira kwakuwa hitimisho la Dr.Slaa alijakufurahisha wewe binafsi.

Aito ondoa uhalali wa hoja kutokana na evidence alizokuwa nazo wakati anatoa statement yake, akiendelea na hoja ile ile baada ya ushahidi mpya ndio tatizo. Si kuna watu pia wamewahi fungwa na wengine kunyongwa kabisa kisa ushahidi wa muda uliotumika, only later baada ya ushahidi mwignine kuja kufahamika kwamba ilikuwa ni makosa. Kwa maana hiyo hakuna sababu ya watu kuachs kuamua kutokana na ushahidi uliopo.

Kwa hivyo tukuamini wewe usie na ushahidi wowote, kuliko Mwakyembe ama?
As I said earlier, Mwakyembe sio source. Source ni huko site. Kwa mbwembwe alizotumia Mwakyembe kipindi kile ni sawa na bondia aliyepata fursa ya kumsukumia makonde mpinzani wake ambaye mikono yake ilifungwa kwa nyuma.

Suala la hitimisho bado narudi pale kwamba mi sio mwanafalsafa kwa vigezo vyenu bali vya kanuni za kimazingira. Ndio maana naweza kuongea jambo na wewe ukaliwekea fremu ya hiyo falsafa yenu. Kwa misingi hiyo Bado sijaona uzito wa hoja aliyoongea Dk kwenye kipengele cha awali ulichonukuu.

Kwa waliotazama press conference ya Dk Slaa na mwendelezo wake kwenye media ni wazi kuwa alikuwa na hasira. Mwenye hasira si lazima afoke. Matamshi yake yanatosha kuthibitisha hilo.

Hoja ya ushahidi ni kuwa, ni nani angempa ushahidi mpya wakati Mwakyembe alishasema kuna mambo mengine hataki kuyasema? Huoni kwa kauli hiyo Dk angepaswa kutafuta hicho kipande kilichobaki ili kukamilisha jigsaw? Wala hakufanya hivyo. Alimuamini vipi Mwakyembe hadi kuamua kuchukua tu alichotoa Mwakyembe? Ni kipi Dk Slaa alichoongeza baada ya kukutana na Mwakyembe hadi tuamini beyond reasonable boubt kuwa Lowassa anahusika YEYE PEKE YAKE?

Pia Mwakyembe na kamati yake walifanya sampling tu na kuja na ripoti yao. Tuamini tu waliacha mengi (as far as cyber crime is concerned)
 
As I said earlier, Mwakyembe sio source. Source ni huko site. Kwa mbwembwe alizotumia Mwakyembe kipindi kile ni sawa na bondia aliyepata fursa ya kumsukumia makonde mpinzani wake ambaye mikono yake ilifungwa kwa nyuma.
Unakoelekea ni mbali sana from the original ideas of the debate you started on post #1 , kinachoendelea kwa sasa nadhani ni hili mradi uandike vitu somewhat gibberish pertaining to ur initial inquiry.

Hivi maswali yasingezuka kuhusu Richmond huyo Mwakyembe ata angeteuliwa kwenye kamati ya kuchunguza? Kama una amini unaweza kujifunza kutoka kwa wanyama sishangai pia kuja na statement ambazo evidence zipo site as if the site can talk.

This is why people do investigation kama kazi aliyokuwa nayo Mwakyembe mantiki ni kufanya tathmini ya casual origins; haya wewe tuambie Lowassa alifungwa vipi mikono au mpaka leo anafungwa vipi mikono asijitete hadharani. Free advice kasome kuhusu justice in philosophy uelewe dhana ya 'equality of outcome' kitu alichokifanya mwakyembe na chances alizonazo Lowassa kwenye kujitetea; as opposed to confusing what is happening with 'equality of opportunity' in your explanations.

Suala la hitimisho bado narudi pale kwamba mi sio mwanafalsafa kwa vigezo vyenu bali vya kanuni za kimazingira. Ndio maana naweza kuongea jambo na wewe ukaliwekea fremu ya hiyo falsafa yenu. Kwa misingi hiyo Bado sijaona uzito wa hoja aliyoongea Dk kwenye kipengele cha awali ulichonukuu.
Swala sio kuwa mwanafalsafa or not tunaishi kwenye age of information sidhani kama kuna kitu ukitaka kukijua kitakushinda kiasi kwamba ya wewe kukaa mezani na kujibizana na Phd holder with confidence (minus laboratory sciences). Tatizo lako ni perception ya kudhani unaweza kuongelea philosophy through your 'sense impression' and your argument to have any meaning; you dont make sense at all.

Ndio maana hata pale unaopelezwa dhana ya moral duty through his past experience ya mtu, swala la ethical dilemma and choosing based on utility bado tu unaendelea ujaona; kikubwa kwako hoja zake azijakufurahisha wewe na itimisho lake sio lako tatizo ni kwamba bado auna hoja zenye kupinga sababu zake zaidi ya kujaribu kuleta mifano ambayo aina uhusiano wowote.

Kwa waliotazama press conference ya Dk Slaa na mwendelezo wake kwenye media ni wazi kuwa alikuwa na hasira. Mwenye hasira si lazima afoke. Matamshi yake yanatosha kuthibitisha hilo.
Au inaweza kuwa sababu ya kujitokeza kwenye media ni part of challenging the veil of ignorance which has permeated the public kuhusu lowassa kwa hivyo anachofanya anawakumbusha tu as moral duty kuhusu mtu mwenyewe.

Hoja ya ushahidi ni kuwa, ni nani angempa ushahidi mpya wakati Mwakyembe alishasema kuna mambo mengine hataki kuyasema?
This is all you know' sophistry arguments.

Huoni kwa kauli hiyo Dk angepaswa kutafuta hicho kipande kilichobaki ili kukamilisha jigsaw?
Hivi umeona wapi mwanasheria wa serikari ushahidi wake unapopwaya anamlaumu mshitakiwa kwa kukosa kufanya kitu fulani ili argument yake iwe rahisi mahakani. Uwezi ku-accuse watu halafu utegemee wa kulete ushahidi ni jukumu lako wewe.

Wala hakufanya hivyo.
haki ya mungu you are amazing

Alimuamini vipi Mwakyembe hadi kuamua kuchukua tu alichotoa Mwakyembe? Ni kipi Dk Slaa alichoongeza baada ya kukutana na Mwakyembe hadi tuamini beyond reasonable boubt kuwa Lowassa anahusika YEYE PEKE YAKE?
Tukuulize wewe labda unaejua zaidi; mimi nimesikiliza hoja za Dr.Slaa nimezielewa sasa wewe mwenzetu kama unadhani kuna ya zaidi kwanini usimwambie huyo Lowassa aje ajitete surely na yeye atakuwa na copy ya hiyo ripoti.

Pia Mwakyembe na kamati yake walifanya sampling tu na kuja na ripoti yao. Tuamini tu waliacha mengi (as far as cyber crime is concerned)
Bora uache kama ulikuwa na mpango wa kutunga uongo hawa-jamaa wanaweza kuanza na wewe hivi hivi.
 
Back
Top Bottom