Kumbe chopa sio sanduku la kura

Kumbe chopa sio sanduku la kura

Ndugu zanguni,

Imethibitishwa leo huko kalenga kuwa chopa sio sanduku la kura na ndugu zangu hawadanganyiki...


Jitambue!

Haya Hongera sana Mkuu, Sasa wajiandae kukaa maisha ya dhiki kwa miaka mingine 52. Kama Waziri wa Fedha zote Tanzania amewaacha hivyo, sasa mtoto atafanya nini. Tunashukuru tumepata fursa ya ku experience hardship ya wanaKalenga chini ya Uongozi Mahiri wa CCM na Mafisadi wote. Ama kweli usimwamshe aliye lala utalala wewe. Kama na wewe ni mzawa wa Kalenga pole sana no wonder umeamua kupakimbia na kujisalimisha kwa wakoloni. Ni hier uishi kwa kubeba maboksi ya wakoloni kuliko kuishi Kalenga aisee poleni sana
 
Hongereni sana ccm,asiye kubali kushindwa si mshindani ila msivimbe vichwa mkadhania itakuwa ubwete ubwete tu kila sehemu
 
Duh kura 22,909 dhidi ya 5,800 si mchezo
Tatizo badala ya kuomba kura wao walikuwa busy zaidi kusisitiza kulinda kura,sasa sijui walikuwa wanafikiri watalinda vip kura ambazo hazipo?kweli zama za Chadema kama chama mbadala zimekwisha,ni either Chadema ibadilike SASA au Chama kingine kiichukue nafasi yake.
 
Chopa siyo kura maneno haya mngemwambia yule kamanda wa polisi alidhani chopa ni kura
 
Ndugu zanguni,

Imethibitishwa leo huko kalenga kuwa chopa sio sanduku la kura na ndugu zangu hawadanganyiki...


Jitambue!


Mkuu nakupongeza sana sababu uliona mbali sana tokea mwanzo. Huu ndio mwisho wa saccoss ya chadema pamija na misukule yao.
 
Ndugu zanguni,

Imethibitishwa leo huko kalenga kuwa chopa sio sanduku la kura na ndugu zangu hawadanganyiki...


Jitambue!

Sanduku la Kura bila uboreshwaji wa Daftari la wapiga kura sio sanduku lenye heshima katika imani juu ya misingi ya kidemokrasia
 
Sanduku la Kura bila uboreshwaji wa Daftari la wapiga kura sio sanduku lenye heshima katika imani juu ya misingi ya kidemokrasia
Wewe waache waendelee na kejeli zao, lakini kwa hakika mwisho wa CCM haupo mbali.
 
Sanduku la Kura bila uboreshwaji wa Daftari la wapiga kura sio sanduku lenye heshima katika imani juu ya misingi ya kidemokrasia

Mbaazi zikikosa kubeba husingizia jua. Unaongea kana kwamba daftari la wapiga kura likiboreshwa watakaoandikishwa ni kwa manufaa ya wazee wa chopa na kanda ya kaskazini tu?!Hata likiboreshwa wapiga kura wapya wapo wanaokipenda chama tawala na watawapigia wana CCM. Extra time is for both sides.
 
Back
Top Bottom