frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,341
Hivi mfano Bank ya CRDB inakudai mkopo wako wa nyumba uliokopa kwa nguvu sana,na wanasema ama sivyo watakuja kukufilisi mali zako moja kwa moja,na kampuni ya ukandarasi inayoitwa "NUA" pia wana kudai pesa zao za ujenz wa nyumba yako, wewe utaanza kulipa wapi?? baina ya CRDB na NUA wewe utaanza kulipa wapi??utalipa CRDB au utalipa (....) usinipe jibu
Hoja yangu ni uache kuwa bendera fata upepo, jitumikie wewe kwa ajiri ya familia yako...na taifa hili, acha kutumikia mtu.
Tangu zzk kuwa na matatizo yake na chama, umekuwa mtu mwenye jaziba, uongo, matusi, kupaniki na mambo mengi ya kijinga sana
Nakujua mpaka ndani, tumia vizuri jina hilo la mchezaji makini wa wwe The Big Show.