Kumbe CHADEMA haifahamiki Vijijini

Kumbe CHADEMA haifahamiki Vijijini

mmaranguoriginal.

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4,060
Reaction score
460
Wakuu nawasalimu,

Kwa mawazo yangu nilivyokiona CHADEMA kwa nje nikajua ni chama chenye umaarufu mijini na pia vijinini kumbe sio kweli.

Nimekuwa katika ziara za chama changu CCM katika maeneo ya mikoa mbalimbali na kuja kugundua kwamba
CHADEMA hakifahamiki maeneo ya vijijini kama vile mjini.

Mosi katika mikoa hiyo kama Iringa Vijijini hawajui kuna
CHADEMA,Kilimanjaro Vijiji vya Kolyambua,Kilasanioni na vijiji vingine hawajui CHADEMA zaidi ya TLP na CCM.

Vijiji vingi vya mikoa tuliopita kama Korogwe vijijini,Songea vijijini,Manyara vijijini,Singida vijijini huko ni CCM tu inafahamika hakuna
CHADEMA.

Ombi langu kwa
CHADEMA wajipange kwanza kueneza chama chao vijijini kabla ya kuwaza kushika dola kwani ni ngumu sana kama ngamia kupita tundu la sindano.

Nawasilisha
 
kwani wewe ulidhani chadema nani anaijua zaidi ya tengeru na hai.
 
Wakuu, nawasalimu kwa mawazo yangu nilivyokiona chadema kwa nje nikajua ni chama chenye umaarufu mijini na pia vijinini kumbe sio kweli. Nimekuwa katika ziara za chama changu ccm katika maeneo ya mikoa mbalimbali na kuja kugundua kwamba chadema hakifahamiki maeneo ya vijijini kama vile mjini mosi katika mikoa hiyo kama iringa vijijini hawajui kuna chadema,kilimanjaro vijiji vya kolyambua,kilasanioni na vijiji vingine hawajui chadema zaidi ya tlp na ccm. Vijiji vingi vya mikoa tuliopita kama korogwe vijijini,songea vijijini,manyara vijijini,singida vijijini huko ni ccm tu inafahamika hakuna chadema. Ombi langu kwa chadema wajipange kwanza kueneza chama chao vijijini kabla ya kuwaza kushika dola kwani ni ngumu sana kama ngamia kupita tundu la sindano. Nawasilisha

We we gamba a cha propaganda za kitoto,mtajidanganya wenyewe kwa wenyewe magamba,chadema inazidi kuchanja mbuga.
 
We unadhan vijjn wanajua kama Nyerere kasha kufa wengi wao wanaulizie chama cha nyerere wanapiga kura ndo ushindi wa ccm !
 
kwani wewe ulidhani chadema nani anaijua zaidi ya tengeru na hai.
Kwa hiyo unataka kuniambia Jimbo la Ubungo linaloongozwa na Mnyika, ni sehemu ya Hai, na Jimbo la Kawe linaloongozwa na Halima Mdee, nalo ni eneo la Tengeru?!

Najua wewe gamba, unajidai unaishabikia sana CCM, lakini in reality, ni katika juhudi za kufukuzia buku 7 pale Lumumba!!
 
Wakuu, nawasalimu kwa mawazo yangu nilivyokiona chadema kwa nje nikajua ni chama chenye umaarufu mijini na pia vijinini kumbe sio kweli. Nimekuwa katika ziara za chama changu ccm katika maeneo ya mikoa mbalimbali na kuja kugundua kwamba chadema hakifahamiki maeneo ya vijijini kama vile mjini mosi katika mikoa hiyo kama iringa vijijini hawajui kuna chadema,kilimanjaro vijiji vya kolyambua,kilasanioni na vijiji vingine hawajui chadema zaidi ya tlp na ccm. Vijiji vingi vya mikoa tuliopita kama korogwe vijijini,songea vijijini,manyara vijijini,singida vijijini huko ni ccm tu inafahamika hakuna chadema. Ombi langu kwa chadema wajipange kwanza kueneza chama chao vijijini kabla ya kuwaza kushika dola kwani ni ngumu sana kama ngamia kupita tundu la sindano. Nawasilisha

Kufahamika maana yake nini?? Mbona CCM kijijini kwetu hawaijui kabisa.
 
Kufahamika maana yake nini?? Mbona CCM kijijini kwetu hawaijui kabisa.

kuna mtu asiyekijua chama kilichowaletea uhuru wao. kijana badilikeni kuna vijijini hawakijui hichi chama wewe unaleta ubishi wa kisiasa kama unatukomoa ccm
 
Kwa hiyo unataka kuniambia Jimbo la Ubungo linaloongozwa na Mnyika, ni sehemu ya Hai, na Jimbo la Kawe linaloongozwa na Halima Mdee, nalo ni eneo la Tengeru?!

Najua wewe gamba, unajidai unaishabikia sana CCM, lakini in reality, ni katika juhudi za kufukuzia buku 7 pale Lumumba!!

hizi propaganda kwamba tunapewa elfu saba acheni mimi sijawahi kupewa niambieni wapi wanatoa buku saba niende
 
Wakuu, nawasalimu kwa mawazo yangu nilivyokiona chadema kwa nje nikajua ni chama chenye umaarufu mijini na pia vijinini kumbe sio kweli. Nimekuwa katika ziara za chama changu ccm katika maeneo ya mikoa mbalimbali na kuja kugundua kwamba chadema hakifahamiki maeneo ya vijijini kama vile mjini mosi katika mikoa hiyo kama iringa vijijini hawajui kuna chadema,kilimanjaro vijiji vya kolyambua,kilasanioni na vijiji vingine hawajui chadema zaidi ya tlp na ccm. Vijiji vingi vya mikoa tuliopita kama korogwe vijijini,songea vijijini,manyara vijijini,singida vijijini huko ni ccm tu inafahamika hakuna chadema. Ombi langu kwa chadema wajipange kwanza kueneza chama chao vijijini kabla ya kuwaza kushika dola kwani ni ngumu sana kama ngamia kupita tundu la sindano. Nawasilisha

kwenye bold hapo sikubaliani na wewe mkuu .....mbonyi!!!!
 
Kijijini chetu, diwani ni kutoka Chadema...Kipo umbali wa Kilometa Mia nne Tisini kuoka Dar..hata umeme serikali ya CCM imetubania... Ingawa yale manguzo makubwa ya gridi yenu ya Taifa, yanapita pembezoni mwa kijiji chetu kizuri.
 
jifarijini kwamba CCM wanajidanganya, ndo mnakufa hivyo msipobadilika.

Huko vijijini wanajua hata yale Mavx yanayotumiwa na viongozi wamenunua kwa hela zao kwahiyo wanajua hao mawaziri na viongozi wa serekali ni matajiri sana. Oneni aibu kusema mnajulikana vijijini wakati mnawapatia kwa ujinga wao na ndio mahali mnapoibia kura. Isitoshe kama cdm haijulikani mpaka vijijini lakini mnarusha mabomu kwenye mikutano yao na kuwabambikizia kesi hivi wakajulikana na huko vijijini itakuwaje?
 
Wakuu, nawasalimu kwa mawazo yangu nilivyokiona chadema kwa nje nikajua ni chama chenye umaarufu mijini na pia vijinini kumbe sio kweli. Nimekuwa katika ziara za chama changu ccm katika maeneo ya mikoa mbalimbali na kuja kugundua kwamba chadema hakifahamiki maeneo ya vijijini kama vile mjini mosi katika mikoa hiyo kama iringa vijijini hawajui kuna chadema,kilimanjaro vijiji vya kolyambua,kilasanioni na vijiji vingine hawajui chadema zaidi ya tlp na ccm. Vijiji vingi vya mikoa tuliopita kama korogwe vijijini,songea vijijini,manyara vijijini,singida vijijini huko ni ccm tu inafahamika hakuna chadema. Ombi langu kwa chadema wajipange kwanza kueneza chama chao vijijini kabla ya kuwaza kushika dola kwani ni ngumu sana kama ngamia kupita tundu la sindano. Nawasilisha

Critical analysis inaniongoza kusema kuwa CDM mpaka ilipofikia imejitahidi sana taking into consideration mabavu ya CCM kwa kutumia vyombo vya ulinzi, Usalama, pesa za umma and other public resources kuizima. CCM has been in the monopoly of TZ politics for 50 years with all public resources at their disposal!
 
Kijijini chetu, diwani ni kutoka Chadema...Kipo umbali wa Kilometa Mia nne Tisini kuoka Dar..hata umeme serikali ya CCM imetubania... Ingawa yale manguzo makubwa ya gridi yenu ya Taifa, yanapita pembezoni mwa kijiji chetu kizuri.

wewe unataja vijijini vilipo jiji la dar. wewe umekunywa viroba nadhani
 
Back
Top Bottom