sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Afrika imeshuhudia maajabu.
Waliokuwa marais wa Nchi mbili tofauti Bw HOSNI MUBARA wa Misri na Bw CHARLES TAYLOR wa Liberia kutumikia vifungo vya maisha kwa makosa ya mauaji, hapa kwetu Tanzania chini ya uongozi wa Mkapa Nchi iliwahi kushuhudia mauaji huko zanzibar, ingawa ilipita kimya kimya lkn kumbe baada ya urais kuna maisha mengine .
Sijui Mkapa na wenzake wanatambua hili....?
Waliokuwa marais wa Nchi mbili tofauti Bw HOSNI MUBARA wa Misri na Bw CHARLES TAYLOR wa Liberia kutumikia vifungo vya maisha kwa makosa ya mauaji, hapa kwetu Tanzania chini ya uongozi wa Mkapa Nchi iliwahi kushuhudia mauaji huko zanzibar, ingawa ilipita kimya kimya lkn kumbe baada ya urais kuna maisha mengine .
Sijui Mkapa na wenzake wanatambua hili....?