Kumbe AZAM hakuna UDINI wowote

... kwa hiyo wewe baada ya ajali akili yako ilikutuma kuhesabu na ku-categorize marehemu kwa majina yao! Was that the best you could do? Ovyo!
 
UDINI UPO POPOTE TANZANIA HIVI SASA WAISLAM WANAPIGA KITABU/SHULE KWA SANA SO UDINI NI LAZIMA KAMA KILE KIPINDI CHENU CHA MFUMO KRISTO.
 
Tuendelee na Msiba kwanza wapendwa ila AZAM UDINI NI KAMA NSSF YA DAU BY THEN HALINA SWALI HILO.....
MWENYEZ MUNGU AZIPOKEE ROHO ZA WAPENDWA WETU MAHALI PEMA PEPONI......

"KAZI YA TRAFIC NA LESENI FEKI KWA VIJANA WETU...."
 
Kijana mawazo mgando hayo.

Huku mkimponda kwa Kila neno baya mwenzenu anatengeza pesa ndefu Kila uchao
Je sio kwamba kwenye kazi za risk anawatoa kafara hao mbuzi katoliki na kuwa protect watu wa upendeleleo?
 
Hawa wenzetu wa msikitini ni wabaguzi sana hilo wala halina ubishi kabisa mbona kwenye jamii tunaona sana tu binafsi azam tv huwa siangalii
 
Wapuuzi sana hawa wenzetu unanikumbusha kipindi nipo kwenye chuo kimoja hivi arusha walitaka kuandama eti ooh kwa nini narahisi wa chuo ni wakristo eti wakaandika majina yao na sahini zao chuo kizima hili wagome acha mkuu wa chuo akaisikia iyoo kitu walipewa onyoo kali sana na adhabu yake ilitakiwa wote wafukuzwe chuo lakini msamaha ukapita my dedication wawe wanatumia akili sio kukurupuka
Inanikumbusha Kuna mate kazini ilikuwa kila ikitangazwa baraza la mawaziri yeye kazi yake kubwa kuhesabu waislam wangapi wamechaguliwa.
 
Nafikiri tungejikita zaidi kwenye maombolezo zaidi haya ya udini yasitujengee fikra za kijinga na kutuwekea uadui baina yetu

Tuko mbali sana katika ujenzi wa taifa na wazungu wanajaribu kuleta mbinu chafu za uchinganishi kila kukicha ili tupigane tu
Tusaidiane kulinda rasilimali zetu na kupambana haswa
 
Hapa umempa mwanga naona jamaa kakurupuka tu kupost.
 
Kwani Tido Mhando ni muislamu?
Na hizo fani ngumu ngumu hizo hazihitaji wababishaji zinahitaji wasomi so unajua wasomi wa kiislamu ni wa elim akhera
 
Hawa wenzetu wa msikitini ni wabaguzi sana hilo wala halina ubishi kabisa mbona kwenye jamii tunaona sana tu binafsi azam tv huwa siangalii
Kuna mmoja kama wewe ambaye haangalii Azam tv ila ajabu anasema Azam tv hawawekagi pongezi za pasaka na xmass,ni wazi kabisa kwa kutokuangalia kwake Azamtv ndio kumefanya kutokuona hizo salamu za Xmass kwenye Azam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…