Kijuram JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 513 Reaction score 374 Jul 15, 2015 #21 Hapo anaonekana Amina ndiye alikuwa boss, mkulu alikuwa mpambe tu.
Kijuram JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 513 Reaction score 374 Jul 15, 2015 #22 Hii picha nahisi ilikuwa ya mwaka 1994/95 wakati Kikwete akiwa Waziri wa fedha, TZ na Amina akiwa Waziri wa fedha ZNZ.
Hii picha nahisi ilikuwa ya mwaka 1994/95 wakati Kikwete akiwa Waziri wa fedha, TZ na Amina akiwa Waziri wa fedha ZNZ.
MduduWashawasha JF-Expert Member Joined Mar 5, 2008 Posts 1,653 Reaction score 605 Jul 16, 2015 #23 Amina alipiga teke nafasi ya kuteuliwa uwenza baada ya kusema anataka kushirikiana na hasimu