kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,127
- 24,429
Aiseee hii ni aibu sasa naelewa kwanini Kisiwani hapajawahi kuwa hata kwenye elfu 1 bora ya matokeo ya Necta ama Nacte
Baada ya kupost leo kwenye page zake anafungia comments na kublock watu, pia anafuta comments mbaya
Mtu aliyeshinda kwa asilimia 98 lakini akaenda kuapishiwa kambi ya jeshi
Mtu pekee anayeitwa Dr aliyepata D moja form 4 ya somo la kiswahili na masomo mengine akafeli kwa kupata F na viastashahada vya kuungaunga vya huko Pakistan na Dubei
Kweli tuna bahati mbaya sana, kwamba tunafanya vizuri kuliko chumi za Marekani na Ulaya
Nacheka ila tuna hasara kubwa sana.

Baada ya kupost leo kwenye page zake anafungia comments na kublock watu, pia anafuta comments mbaya
Mtu aliyeshinda kwa asilimia 98 lakini akaenda kuapishiwa kambi ya jeshi
Mtu pekee anayeitwa Dr aliyepata D moja form 4 ya somo la kiswahili na masomo mengine akafeli kwa kupata F na viastashahada vya kuungaunga vya huko Pakistan na Dubei
Kweli tuna bahati mbaya sana, kwamba tunafanya vizuri kuliko chumi za Marekani na Ulaya
Nacheka ila tuna hasara kubwa sana.