Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,056
- 1,867
Mungu ampe maisha marefu ili aendelee kupambana.
hee kumbe na boko haram huwa wanatafutaga kiki hapa town...Kiongozi mkuu wa boko haram abuu shekau ametoa mkanda wa video wenye matamshi makali ya kumuonya jacob zuma kuwataka wananchi wake kusimamisha au kuacha kuwashambulia raia wa kigeni waliopo katika nchi hiyo , vinginevyo atazishambulia balozi za south africa katika nchi za nigeria, chad, niger, cameroon, , sambamba na kuwauwa raia wa nchi iyo popote walipo sambamba na kuwateka nyara
Naomba linkKiongozi mkuu wa Boko Haram, Abuu Shekau ametoa mkanda wa video wenye matamshi makali ya kumuonya Jacob Zuma kuwataka wananchi wake kusimamisha au kuacha kuwashambulia raia wa kigeni waliopo katika nchi hiyo , vinginevyo atazishambulia Balozi za South Africa katika nchi za Nigeria, Chad, Niger, Cameroon sambamba na kuwauwa raia wa nchi hiyo popote walipo sambamba na kuwateka nyara.