Kumbe Abuu Shekau anayo mambo mazuri

Kumbe Abuu Shekau anayo mambo mazuri

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
Kiongozi mkuu wa Boko Haram, Abuu Shekau ametoa mkanda wa video wenye matamshi makali ya kumuonya Jacob Zuma kuwataka wananchi wake kusimamisha au kuacha kuwashambulia raia wa kigeni waliopo katika nchi hiyo , vinginevyo atazishambulia Balozi za South Africa katika nchi za Nigeria, Chad, Niger, Cameroon sambamba na kuwauwa raia wa nchi hiyo popote walipo sambamba na kuwateka nyara.
 
Sisi waafrica tunauwana tunarudishana nyuma kimaendeleo! mungu bora aendelee kuwazidishia maendeleo wazungu tu hamna jinsi!
 
[QUOT E=tamimusalim;12472991]Kiongozi mkuu wa boko haram abuu shekau ametoa mkanda wa video wenye matamshi makali ya kumuonya jacob zuma kuwataka wananchi wake kusimamisha au kuacha kuwashambulia raia wa kigeni waliopo katika nchi hiyo , vinginevyo atazishambulia balozi za south africa katika nchi za nigeria, chad, niger, cameroon, , sambamba na kuwauwa raia wa nchi iyo popote walipo sambamba na kuwateka nyara[/QUOTE]
Turushie hiyo video mkuu
 
1429208519010.jpg
 
Kiongozi mkuu wa boko haram abuu shekau ametoa mkanda wa video wenye matamshi makali ya kumuonya jacob zuma kuwataka wananchi wake kusimamisha au kuacha kuwashambulia raia wa kigeni waliopo katika nchi hiyo , vinginevyo atazishambulia balozi za south africa katika nchi za nigeria, chad, niger, cameroon, , sambamba na kuwauwa raia wa nchi iyo popote walipo sambamba na kuwateka nyara



Turushie hiyo video mkuu!!!
 
Ebu akwende zake.....amani imapatikana kwa MUNGU PEKEE na sio shetani kama yeye
 
Kiongozi mkuu wa boko haram abuu shekau ametoa mkanda wa video wenye matamshi makali ya kumuonya jacob zuma kuwataka wananchi wake kusimamisha au kuacha kuwashambulia raia wa kigeni waliopo katika nchi hiyo , vinginevyo atazishambulia balozi za south africa katika nchi za nigeria, chad, niger, cameroon, , sambamba na kuwauwa raia wa nchi iyo popote walipo sambamba na kuwateka nyara

Nani kamtuma gaidi huyo! awarudishe mabinti wadogo kwa wazazi wao.
 
Mmmmh! Crazier world with craziest creature who dont fear making revenge for bloodshed of inocent creature.
Let us b human first before we condemn ourself to this religeous afiliate hope de world will be a hapiest place to live
 
Sisi waafrica tunauwana tunarudishana nyuma kimaendeleo! mungu bora aendelee kuwazidishia maendeleo wazungu tu hamna jinsi!

Mkuu umesahau kuwa hao wazungu ndo chanzo cha sisi ngozi nyeusi kuuana?
Leo hii wanaoua huko SA ni wazawa wa Nchi ambao baba au babu zao walikandamizwa na makabulu na kujikuta wamenyimwa fursa kibao ikiwemo elimu and so matokeo ndo hayo ya kukosa ajira na kuishia kua vibarua.
 
Kiongozi mkuu wa boko haram abuu shekau ametoa mkanda wa video wenye matamshi makali ya kumuonya jacob zuma kuwataka wananchi wake kusimamisha au kuacha kuwashambulia raia wa kigeni waliopo katika nchi hiyo , vinginevyo atazishambulia balozi za south africa katika nchi za nigeria, chad, niger, cameroon, , sambamba na kuwauwa raia wa nchi iyo popote walipo sambamba na kuwateka nyara

Mbona hajatoa onyo kwa Alshabab walivyoua wanafunzi wa kenya.... Au kwa vile South Africa Kuna makafiri wengi ndio maana analeta umaku....
 
Kwa hiyo yeye anateka wazungu tu? Wale mabinti walikuwa waarabu ehh! Watu wengine bwana.
 
Back
Top Bottom