Habarini wakuu, ninaswali kidogo juu ya hii biashara ya kulipwa kwa kuangalia video youtube.
Juzi nilitafutwa na namba whatsApp yenye country code ya marekani na akaniambia kuuhusu kuingiza ela kwa kuview videos youtube, akanitumia link nika view then wakaniuliza namba ya aacount nikatuma wakanitumia 10000 so akanitumia link ikanidirect telegram hulo nikapata maelekezo nikajiunga kwa group ambalo wanatuma task kila baada ya dakika 20 unaview video then unatuma screenshot video moja kamisheni yake ni 1000 ikifika 10000 wankutumia jana nikakamilisha 10000 wakanitumia tena sasa kuanzia jana jioni wakawanaleta na task nyingine ambazo zinahitaji uwatumie ela 100000 then wanakurudishia 130000 baada ya 20 minutes nikaskip hyo task kila ukiskip kamisheni inapungua sasa ikapungua mpka 200 so wakaniambia inabidi nimalizie hizo task ndo niendelee na za kuview videos.
Naomba ushuri juu ya hili, je ni kweli mtu anaeza kuinhiza ela kwa kuangalia video online. Asanteni
Juzi nilitafutwa na namba whatsApp yenye country code ya marekani na akaniambia kuuhusu kuingiza ela kwa kuview videos youtube, akanitumia link nika view then wakaniuliza namba ya aacount nikatuma wakanitumia 10000 so akanitumia link ikanidirect telegram hulo nikapata maelekezo nikajiunga kwa group ambalo wanatuma task kila baada ya dakika 20 unaview video then unatuma screenshot video moja kamisheni yake ni 1000 ikifika 10000 wankutumia jana nikakamilisha 10000 wakanitumia tena sasa kuanzia jana jioni wakawanaleta na task nyingine ambazo zinahitaji uwatumie ela 100000 then wanakurudishia 130000 baada ya 20 minutes nikaskip hyo task kila ukiskip kamisheni inapungua sasa ikapungua mpka 200 so wakaniambia inabidi nimalizie hizo task ndo niendelee na za kuview videos.
Naomba ushuri juu ya hili, je ni kweli mtu anaeza kuinhiza ela kwa kuangalia video online. Asanteni