Habari wakuu, natumia blackberry curve 8520, sasa kuna software nazihitaji ni za kulipia kwa pay pal, nilikuwa nauliza inawezekana kulipia? Na ninaomba maelekezo ya namna ya kulipa......thanx in advance
Usipate shida hii nisawa namalipo mengine yoyote kupitia njia ya bank,inakulazimu kuwa na moja kati ya zifuatazo kwa card za bank pay online. Viza,Master,Elecronic cards,zipo nyingi sana,lakini tunazo tumia tanzania ni chache,lakini inawezekana.nimetumia visa card kwa kununulia tiketi ya ndege sio mara 1.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.