SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,081
- 75,445
Falsafa za dhalim? Never.Chadema Kama wanataka kurudi kwenye mioyo ya watu lazima watumie falsafa za Magufuli au wampate mtu mwenye hulka Kama za Magufuli
Kwa kuwa hawana akili hawajui kwamba kadiri wanavyotoa kauli mbaya dhidi ya Magufuli ndiyo wanajiharibia taswira
Natamani ningekuwa mshauri wao
Ndiyo kwanza wanakimbia uchaguziChadema Kama wanataka kurudi kwenye mioyo ya watu lazima watumie falsafa za Magufuli au wampate mtu mwenye hulka Kama za Magufuli
Kwa kuwa hawana akili hawajui kwamba kadiri wanavyotoa kauli mbaya dhidi ya Magufuli ndiyo wanajiharibia taswira
Natamani ningekuwa mshauri wao
Tumekujibu tu huo uzushi wakoAlafu hamna mtu hata mmoja anayejisajili!!!!
Nilitarajia nione foleni
Wewe mtu wa ajabu, wao wapo CCM jee ulitegemea wainange CCM?Pamoja na Pasco mayala, hawezi ongelea siasa bila kuinanga cdm
Umekubali kuwa wewe ni shoger??Kweli kabisa
Biashara yako ya kuuza biriani vipi bado inaendelea??Chama kimedoda?
Mwamba kipindi Cha Magu aliufyakaNdiyo kwanza wanakimbia uchaguziView attachment 1815186
HahahaMwamba kipindi Cha Magu aliufyaka View attachment 1815431
Mbowe hatasamehewa na watanzania kwa kitendo chake cha kuangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia amepigwa na wasiojulikana ili kumchafua mwendazake.Kwani Lumumba wameanza tena kutoa zile Buku saba kama alizokuwa anatoa Chakubanga
Hivi mumeo hakufikishi kileleni hadi muda wote unamuwaza Mbowe tu?Mbowe hatasamehewa na watanzania kwa kitendo chake cha kuangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia amepigwa na wasiojulikana ili kumchafua mwendazake.
Jibu swali hufikishwi nije nikurekebishe? Haiwezikani mtoto wa kike usitulie kwa mumeo lazima ipo shida.Pole Joyce Mkya
Get out of me you rotten cunt!Toka utatuliwe marinda unaparamia ovyo wanaume