"Balozi namba mbili ni waziri wa mambo ya nje. Kazi yake kubwa ni kumshauri balozi namba moja ambaye ni rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania" - Prof. Palamagamba A.J Kabudi
Kweli ila kwenye speech yuko poor sana utafikiri hajasoma bora hata mwendazake alikuwa anatiririka akichapia mtajua ninyiUongeaji wake yule mama haueleweki anacheka cheka tu hovyo.
Tatizo mnatembea mkiangalia kivuli cha Magufuli ingawa amekwishafariki.Waziri Liberata Mulamula yupo na siku chache zilizopita alikuwa na Rais Samia kwenye ziara ya Nchini Uganda na akasaini mikataba kadhaa kwa niaba ya serikali.
Sukuma Gang punguzeni chuki na mnatakiwa kuamini yule bedui ameshakufa na hatorudi tena duniani.
'Trivia,' lakini inaweza kuwa na maana kubwa..., mkubwa anafunika kichwa na mabega yote, halafu mdogo ana'contrast' mkubwa kwa kufunua hivyo!Tunaomba mwenye kujua nini kilichomsibu waziri wetu.
Atuwekee hadharani, kwa sababu huyu ni kiongozi wa umma na anapaswa kuwepo kwenye eneo lake la kazi kwa mujibu wa sheria na katiba.
Kwa hawa wanampokea au wanamsalimia ? Kumbuka kuna tofauti baina ya kupokea za kusalimia.Unamaanisha hawa!View attachment 2237889
EEeeenHeeeee!Kwa vile kati ya mwaka 2002 na 2004 nilifanya kazi nyingi sana na Pentagon na nilikuwa na marafiki wengi wa ngazi za juu sana, wengi waliamini kuwa Sadam alikuwa na silaha za maangamizi ambazo zingeweza kutumiwa na Al Qaeda dhidi ya marekani ila walikuwa bado wanalifanyia kazi jambo hilo. Tatazo ni kuwa baada ya 9/11wakageuka kuwa katika mode ya kufanya maamuzi ya haraka kuzuia hilo lisotokee. Hata hivyo bado kuna diplomats kadhaa waliojiuzuru, kwa mfano John Brown alijiuzuru kwa kuona kuwa uamuzi huo ulifanyika kwa haraka sana.
Maza Mizinguo huyo, unategemea nini?Ajabu, wakati Kabudi anatolewa kwenye uwaziri kisingizio kilikuwa umri mkubwa. Aliyeteuliwa kazaliwa 1956, mwaka ambao ndio Kabudi naye alizaliwa.
Nini kimekuchekesha hapo; ukiwa serious tafuta hapa kwenye posts nyingi nilizowahi kuandika kuhusu research mbalimbali nilizokuwa nafanya na Army Research Lab (ARL) na kila kila mara tukawa tunakutana Virginia ama Pentagon au Crystal City Hotelini kupena progress reports. Hilo ukitaka litafute liko wazi na halihitaji kukuchekesha wala kukutisha; ARL huwa inafanya research kwa kushirikiana na Universities mbalimbali. Labda ulikuwa hujui kuwa jeshi la Marekani hufanya kazi na wataalamu wa kutoka nyanja mbalimbali; wao siyo watu mtutu tu.EEeeenHeeeee!
Huo mstari wa kwanza unachekesha, (nilitaka kuandika 'unatisha') ,..., John Brown ndiiye nani mkuu?
Ni kweli; wakati Covid inaanza, kulikuwa na mkanganyiko sana, na hivyo Kabudi akafanya hayo makosa ya kuamini shortcut. Hilo ni kosa lake moja tu kati ya mengi mazuri aliyofanya katika kuproject interests za Tanzania.Interest gani mkuu za kwenda Madagascar kutuletea dawa feki ya COVID-19 na wakaipiga wenyewe hapo jengo jeupe
Lini? Hebu tujuze tafadhali.🙏🙏🙏Kweli nilisikia kwamba amejiuzuru.
Inawezekana, lakini huyo Dr. Patricia Laverley ni raia wa Sierra Leone siyo wa Ghana. Inawezekana alimpokea kiundugu kwa vile ameishi sana Tanzania.Huyu Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo Afrika nchini Tanzania ndio yule mama aliyempokea Rais Samia kule Accra Ghana!!!
Inawezekana, lakini huyo Dr. Patricia Laverley ni raia wa Sierra Leone siyo wa Ghana. Inawezekana alimpokea kiundugu kwa vile ameishi sana Tanzania.