white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,305
- 13,265
kulikoni tbc-1,kutumia muda mwingi kuonyesha vipindi vya kung fu,za china?imekuwa kama ni tv ya taifa ya china!ina maana hakuna vipindi vya hapa tanzania?au hata ngoma za asili,au ndio hiyo sera mpya ya wachina kwa bara la africa?