Wana JF naomba kuuliza mbona huyu mwanamitindo wetu amepungua ghafla? Hivi kweli mtu anayefanya diet au mazoezi anaweza pungua namna hiyo akawa kama box yaani ametepweta? au ndo mambo ya visu yameingia Bongo? naombeni ufafanuzi je Mustapha amefanya plastic surgery au?
Wana JF naomba kuuliza mbona huyu mwanamitindo wetu amepungua ghafla? Hivi kweli mtu anayefanya diet au mazoezi anaweza pungua namna hiyo akawa kama box yaani ametepweta? au ndo mambo ya visu yameingia Bongo? naombeni ufafanuzi je Mustapha amefanya plastic sugery au?
Unaonyesha uko karibu sana nae, si utuambie,badala ya kuanzia mbaali...maana sidhani kama unaongea kwa ku`base kwenye picha za runinga au magazeti...! lol!
easy tu,mbona huku mamtoni watu wanajipunguza uzito kuliko hata huyo hassanali,bongo bana!!!!!!watu waacha kukata issue za kiwira,richmonduli etc. mnamwaangalia mdosi. tambarareeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Inaelekea huyu mwanamitindo anahusudiwa sana na watu huko Bongo......lakini nasikia hana lugha nzuri......nasikia maneno yake ni ya karaha lakini watu wanaendelea kumpa ujiko kwasababu ana pesa....
Inaelekea huyu mwanamitindo anahusudiwa sana na watu huko Bongo......lakini nasikia hana lugha nzuri......nasikia maneno yake ni ya karaha lakini watu wanaendelea kumpa ujiko kwasababu ana pesa....
huyu jamaa alikuwa na hali mbaya kwa ile weight yake,msimshangae ni mambo ya diet tu na kukata mwili hata wewe ukitaka waone wachina watakusaidia kama unataka kuongeza ama kupunguza umbile lolote upendavyo, China hoyeeee!