Kulikoni Kepteni Komba ?

Mambo ya kula hovyo na kulala mikutanoni ndiyo kisa cha obesity. Bado anataka aongezwe posho
 
Hiyo ni uzembe wake tu. Anaendekeza ulaji wa chakula kupita kiasi na kulala sana
 
jamani huyo si alikuwaga soja? Inakuwaje soja anajiachia mwili hivyo? Jaman tuzingatie mazoezi japo mara mbili kwa wk, sasa unakuta mtu katembea sana kwa miguu ni mita kumi mda wote kwenye gari akitoka hapo ni kwenye sofa lzm miguu ielemewe na mzigo kwa nini hawaigi mfano kwa mzee Ruksa?
 
kapteni kapteni lakini hazingatii mazoezi
pole yake hata sauti ishaanza kupotea nani
atatuimbia tena nyimbo za fasta fasta wanapotutoka viongozi wajameni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…