mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
Nani kasema machangu ndio wenye virusi pekee,hata wasio machangu wanavirusi an hata walio kwenye ndoa wana virusi pia,muhimu jiangalie mwenyewe na si kushuparia makundi ya watu,hata machangudoa ni watu pia na wanasitahili heshima nani asiye changundoa hapa duniani,hata ukila tunda na mtu usiyefunga ndoa nae hata kama ni mchumba wako wewe unabaki kuwa changudoa,au tunafikiri uchangundoa lazima ajiuze Jolly nini,na hao wanaotaka uwapeleke luch au uwatumie vocha au uwapangishie nyumba nao ni haohao machangudoa