nyumbatatu
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,076
- 938
Hii mixer ya akili jf Kuna muda unacheka na Kuna muda inakera, hv nyie mmnaojiita geat thinkers mnashinwa VP kuhusisha miungurumo ya ndege na tarehe nyekundu kwenye kalenda zenu.
Umepoteza muda wako wa kuswali bure.Ungeutumia kuomba mwenyezi Mungu akuondolee ulofa ulionao ungekuwa umefanya la maana zaidi kwako na familia yako
Jeshi linajismatiphonisha ndugu.
Labda wanataka kupindua nchi, nitafurahije!!!
Mmh! kwahiyo kule Burkina Faso ni malofa? Hapa kwetu haiwezi tokea? vimbizi hiyo!Umepoteza muda wako wa kuswali bure.Ungeutumia kuomba mwenyezi Mungu akuondolee ulofa ulionao ungekuwa umefanya la maana zaidi kwako na familia yako
dih mkuu umewaza mbali
Ushindwe na ulegee.We ni msafii?Nimetoka sali kanisani leo hii kuomba nchi ipunduliwe na jeshi ishike madaraka kisha Marais wote kuanzia Mwinyi mpaka haka katalii washikwe na kutaifishwa mali zao za wizi kisha kunyongwa ili iwe mfano kwa vinyago wajao. Nimefunga Novena for this.
itakuwa mazoezi ya kutumia hela zetu tarehe 9 december
Atiii?
Hii mixer ya akili jf Kuna muda unacheka na Kuna muda inakera, hv nyie mmnaojiita geat thinkers mnashinwa VP kuhusisha miungurumo ya ndege na tarehe nyekundu kwenye kalenda zenu.
Nimetoka sali kanisani leo hii kuomba nchi ipunduliwe na jeshi ishike madaraka kisha Marais wote kuanzia Mwinyi mpaka haka katalii washikwe na kutaifishwa mali zao za wizi kisha kunyongwa ili iwe mfano kwa vinyago wajao. Nimefunga Novena for this.
.......leo kunani????!! ni riport ya Escrow tu ndg, teh teh teh.Kunani jamani, Zimepita jet mbili za jeshi angani kwa kasi ya ajabu na kama vile zinaelekea upande wa morogoro road.
Anayejua atujuze please