Profile Picture yako tu inatosha kuelezea unachowaza..
Training mjini? Waende wakafanyie porini kama kweli wanamaanisha training Mimi nadhani ni vita ya kisaikolojia .Sasa mkuu zikikaa muda mrefu Si zitapata kutu?,training kwa marubani zinatakiwa zifanyike Mara kwa Mara...usihofu amani ipo...
Kunani jamani, Zimepita jet mbili za jeshi angani kwa kasi ya ajabu na kama vile zinaelekea upande wa morogoro road.
Anayejua atujuze please
Kunani jamani, Zimepita jet mbili za jeshi angani kwa kasi ya ajabu na kama vile zinaelekea upande wa morogoro road.
Anayejua atujuze please