Kulikoni: Jet za Jeshi angani Mida hii ?

Kulikoni: Jet za Jeshi angani Mida hii ?

Hata mie nashangaa anga la Dar limetawaliwa na milio ya ajabu ajabu ya hii midege utadhani wanafukuza kukamata wezi wa Escrow. Sijui kunani pande hizi. Natamani wapite japo raundi moja pale bungeni dodoma muda huu.
 
Nimetoka sali kanisani leo hii kuomba nchi ipunduliwe na jeshi ishike madaraka kisha Marais wote kuanzia Mwinyi mpaka haka katalii washikwe na kutaifishwa mali zao za wizi kisha kunyongwa ili iwe mfano kwa vinyago wajao. Nimefunga Novena for this.
Umepoteza muda wako wa kuswali bure.Ungeutumia kuomba mwenyezi Mungu akuondolee ulofa ulionao ungekuwa umefanya la maana zaidi kwako na familia yako
 
Sasa mkuu zikikaa muda mrefu Si zitapata kutu?,training kwa marubani zinatakiwa zifanyike Mara kwa Mara...usihofu amani ipo...
 
Back
Top Bottom