Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Ni mara ya tatu nimemkuta akicheza drafti halafu kila mara anatoa kiberiti halafu ananusa kisha anavuta hisia na kuonekana kufurahia hali ile.Ikabidi nimuulize,akaniambia "huwa nasikia raha sana nikisikia harufu ya taka ngumu za binadamu"(tafsida ni yangu) baada ya kusema hayo akaondoka huku akiniacha na maswali mengi.Hivi ni mzima huyu au ana ukichaa?Iweje atembee na hiyo kitu?Au ni aina ya ugonjwa mpya?