kwanza inatakiwa wilaya za temeke, kinondoni, na ilala kuwe na more than 3 hospitals in each ambazo zina uwezo mkubwa wa vitanda na wodi za wagonjwa. Lakini watawala hilo haliko kichwani mwao, wanawaza kwenda kutibiwa nje halafu wakirudi wanajua watapokelewa uwanja wa ndege.