Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,991
- 831,559
Kuna habari tunaiweka sawa asanteni kwa uvumilivuNipo naagalia ITV kama kawaida yangu ili niweze kupata habari ,ajabu hadi sasa ni dakika ya 14 hakuna habari bali ni matangazo tu na hakuna tangazo la kucheleweshwa kwa habari .
Je! Kulikoni? Au leo hakuna habari
