Nimejalibu kutafakali kiundani ila sijapata jibu aidha la kimaumbile au la kisayansi kwa nini viungo ambavyo viko pair ktk miili yetu haviko sawa ktk uwezo,kwa mfano wa mkono wakulia hauwezi kufanya kazi sawa na wa kushoto na hata mtu akiwa anatumia kushoto basi kulia utakuwa dhaifu ukilinganisha na wa kushoto,hata macho ukimwambia mtu achungulie maybe kwenye dalubini basi huwa anaprefer zaidi jicho fulani na akitumia lingine basi anaona hayuko sawa,hata kwenye nchezo golikipa kuna upande kwake unakuwa rahisi,dereva kadhalika kwenye kukata kona,karibu maeneo yote yanayohusisha pande pili sijawahi kuona kuwa na uwezo sawa.Naomba mnisaidie kama kuna sababu za kisayansi,kimazingira au zingine tu hii inatokana na nini?