Ngamanya Kitangalala
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 501
- 1,214
Ukisoma sheria ya maadili ya viongozi wa umma(The public leadership code of ethics act, 1998 ) kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni(mbunge) ni kiongozi wa umma(Public leader)
Kwa nafasi yake kama kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, ana haki sawa na kiongozi wa shughuli za serikali bungeni (Waziri Mkuu)
Sasa kulewa chakari kwa kiongozi wa umma, saa tisa usiku wa manane,tena wakati vikao ya bunge vikiendelea, inaweza isiwe kosa kisheria(legality)
Lakini kwa kiongozi wa umma kulewa chakari, hapa kuna issue ya INTEGRITY.
Kwa hili kuna haja kwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, kujitafakari kwa tabia hiyo ya ulevi.
Kwa nafasi yake kama kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, ana haki sawa na kiongozi wa shughuli za serikali bungeni (Waziri Mkuu)
Sasa kulewa chakari kwa kiongozi wa umma, saa tisa usiku wa manane,tena wakati vikao ya bunge vikiendelea, inaweza isiwe kosa kisheria(legality)
Lakini kwa kiongozi wa umma kulewa chakari, hapa kuna issue ya INTEGRITY.
Kwa hili kuna haja kwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, kujitafakari kwa tabia hiyo ya ulevi.