Kulegezwa mapambano dhidi ya VVU Ukimwi, tujiandae kwa janga kubwa kwa taifa miaka michache ijayo

Aug 28, 2021
36
108
Kwa wiki tatu mfululizo mwezi huu nilikua nafuatilia cheti cha kuzaliwa cha binti yangu hospital moja kubwa tu ya serikali huku nilipo.
Jengo wanalotoa hvi vyeti hapa hospitali ndilo hilohilo kliniki ya ndugu zetu wanaoishi na virusi vya ukimwi( nimethibitisha leo mwanzo nilikua nahisi tu).
Wiki ile ya mwanzo nilipofika pale nilikuta kundi la mabinti kam kumi au zaidi, kwa kukadilia pale hakuna aliyekua anafika miaka kumi na nane, wengne walikua na sare za shule kabisa. Sikuelewa dhumuni la wao kuwa pale niliingia ofisi husika mara nikatoka na kuondoka baada ya kupigwa kalenda mpak ijumaa itakayofuata niende tena.
Ijumaa nyngne ilipofika nikaenda kama kawaida nikaambiwa nirudi mchana wa saa nane. Nikaendelea na mizunguko mingne mpaka muda ulipofika nikaenda. Nikakuta tena kundi la mabinti wadogo kabisa, wengi n wale wanaovaa viatu vina manyoya wengne wamebeba vile vibegi vyao vidogo vidogo, ni watoto wale. Sasa nilipoingia mle ofisini jamaa akanambia nikae nisubiri, nikiwa nimekaa macho yakibarizi ile ofisi nikakutana na mkabata umejaa ARV yani tangu juu mpaka chini mwanzo wa ukuta mpak mwisho n hzo dawa tu. Hapa nikaanza kupata mashaka kidogo. Wakati huo mara kadhaa nilikua nasikia msamiati wa "mteja huyu hvi mara vile". Bahati mbaya siku ile sikufanikiwa kupata cheti nikapigwa kalenda ya kurudi leo.
Sasa leo nikiwa nimeongozana na wife kwaajili ya maswala ya afya ya uzazi, tukaingia lile jengo kama kawaida tukakuta wadada kadhaa wanahudumiwa mmoja mmoja na wote wakiitwa wateja. Nashukuru leo nikapata cheti. Tukiwa tunatoka tukapishana tena na kundi la vibinti dizaini ileile vinaingia pale.
Mimi nikiwa sasa nahisi tu hawa wanaoingia humu ambao n wateja itakua n wateja wa zile dawa pale ndani lakin kwann vibinti vidogo hvi na wawe wengi nikawa njia panda.
Tukiwa kwa muhudumu ambae anahusika na hayo mambo ya afya ya uzazi, ni mama mtu mzima, akawa anatushauri kuwa makini na afya zetu. Mara akanigeukia mim, "mwanangu nyie wanaume mnadanganyika kirahisi sana unaona vile vitoto pale" akionesha kupitia dirishani kule kwenye lile jengo tukiwa tunawaona wale mabinti "wale wanafuata dozi n wagonjwa, ukiwaona kwa umri wao huwez kuwajua."
Pale nikawa speechless, baadae tukiwa njiani nikamwambia wife aiseeee kuanzia sas ntakua muaminifu zaidi ya mara yoyote niliyowahi kuwa,mizigo ya nje moto.

Kwa namna mapambano dhidi ya maambukizi mapya yalivyopuuzwa kwa sasa,( huelimishaji na uhamasishaji kuanzia kwenye medias, matamasha na maandiko mbalimbali. Usambazaji wa condoms bure, kupanda kwa bei ya kondomu madukani na Wakati mwngne kuhadimika kabisa) tutakua na vijana wengi wagonjwa baada ya miaka kumi mbele.
Yale makundi matatu tofauti niliyoyaona kwa hzi ijumaa tatu tu wale ukikutana nao swala la kumfikiria kama n mgonjwa huwez kuwa nalo kwa umri wao. Kama wakiamua kuusambaza wanao uwezo wa kuusambaza kwa kiasi kikubwa sana.

Rai yangu hasa wanaume wenzangu tuwe makini sana hasa na hvi vibinti vidogo, tusiwaamini tu kwa macho. Lakini kwa vyombo husika zile juhudi za kupambana na maambuzi mapya hebu zirudi upya, vijana na mabinti wadogo wanapotea.
 
Mkuu waafrica hatuwezi acha kunyanduana hata kidogo.
Hicho ndicho tunachoweza siku hizi watu wanaishi nao huo umeme...
 
Kwa wiki tatu mfululizo mwezi huu nilikua nafuatilia cheti cha kuzaliwa cha binti yangu hospital moja kubwa tu ya serikali huku nilipo.
Jengo wanalotoa hvi vyeti hapa hospitali ndilo hilohilo kliniki ya ndugu zetu wanaoishi na virusi vya ukimwi( nimethibitisha leo mwanzo nilikua nahisi tu).
Wiki ile ya mwanzo nilipofika pale nilikuta kundi la mabinti kam kumi au zaidi, kwa kukadilia pale hakuna aliyekua anafika miaka kumi na nane, wengne walikua na sare za shule kabisa. Sikuelewa dhumuni la wao kuwa pale niliingia ofisi husika mara nikatoka na kuondoka baada ya kupigwa kalenda mpak ijumaa itakayofuata niende tena.
Ijumaa nyngne ilipofika nikaenda kama kawaida nikaambiwa nirudi mchana wa saa nane. Nikaendelea na mizunguko mingne mpaka muda ulipofika nikaenda. Nikakuta tena kundi la mabinti wadogo kabisa, wengi n wale wanaovaa viatu vina manyoya wengne wamebeba vile vibegi vyao vidogo vidogo, ni watoto wale. Sasa nilipoingia mle ofisini jamaa akanambia nikae nisubiri, nikiwa nimekaa macho yakibarizi ile ofisi nikakutana na mkabata umejaa ARV yani tangu juu mpaka chini mwanzo wa ukuta mpak mwisho n hzo dawa tu. Hapa nikaanza kupata mashaka kidogo. Wakati huo mara kadhaa nilikua nasikia msamiati wa "mteja huyu hvi mara vile". Bahati mbaya siku ile sikufanikiwa kupata cheti nikapigwa kalenda ya kurudi leo.
Sasa leo nikiwa nimeongozana na wife kwaajili ya maswala ya afya ya uzazi, tukaingia lile jengo kama kawaida tukakuta wadada kadhaa wanahudumiwa mmoja mmoja na wote wakiitwa wateja. Nashukuru leo nikapata cheti. Tukiwa tunatoka tukapishana tena na kundi la vibinti dizaini ileile vinaingia pale.
Mimi nikiwa sasa nahisi tu hawa wanaoingia humu ambao n wateja itakua n wateja wa zile dawa pale ndani lakin kwann vibinti vidogo hvi na wawe wengi nikawa njia panda.
Tukiwa kwa muhudumu ambae anahusika na hayo mambo ya afya ya uzazi, ni mama mtu mzima, akawa anatushauri kuwa makini na afya zetu. Mara akanigeukia mim, "mwanangu nyie wanaume mnadanganyika kirahisi sana unaona vile vitoto pale" akionesha kupitia dirishani kule kwenye lile jengo tukiwa tunawaona wale mabinti "wale wanafuata dozi n wagonjwa, ukiwaona kwa umri wao huwez kuwajua."
Pale nikawa speechless, baadae tukiwa njiani nikamwambia wife aiseeee kuanzia sas ntakua muaminifu zaidi ya mara yoyote niliyowahi kuwa,mizigo ya nje moto.

Kwa namna mapambano dhidi ya maambukizi mapya yalivyopuuzwa kwa sasa,( huelimishaji na uhamasishaji kuanzia kwenye medias, matamasha na maandiko mbalimbali. Usambazaji wa condoms bure, kupanda kwa bei ya kondomu madukani na Wakati mwngne kuhadimika kabisa) tutakua na vijana wengi wagonjwa baada ya miaka kumi mbele.
Yale makundi matatu tofauti niliyoyaona kwa hzi ijumaa tatu tu wale ukikutana nao swala la kumfikiria kama n mgonjwa huwez kuwa nalo kwa umri wao. Kama wakiamua kuusambaza wanao uwezo wa kuusambaza kwa kiasi kikubwa sana.

Rai yangu hasa wanaume wenzangu tuwe makini sana hasa na hvi vibinti vidogo, tusiwaamini tu kwa macho. Lakini kwa vyombo husika zile juhudi za kupambana na maambuzi mapya hebu zirudi upya, vijana na mabinti wadogo wanapotea.
Mind your business. Umeombwa hela ya unga lishe?
 
Kuna chuo kimoja hapa mabinti ni wazuri, wana sura nzuri na maumbo ya kuvutia kimahaba, ila inasemakana si wazima wana ngwengwe. Watu wenye fedha huwafuata na kwenda kuwatumia kimapenzi bila hofu yeyote
 
Kuna chuo kimoja hapa mabinti ni wazuri, wana sura nzuri na maumbo ya kuvutia kimahaba, ila inasemakana si wazima wana ngwengwe. Watu wenye fedha huwafuata na kwenda kuwatumia kimapenzi bila hofu yeyote
Huna hela wewe
 
Kaka ukiwa kwenye ndoa tulia tu hauna ujanja zaidi ya Mungu mwenyewe akunusuru maana wewe utakuwa mwaminifu hadi kufa ila mwenza wako analiwa na boda boda kiulaini.
 
tumuombe Mungu sana, tujilinde, tuilinde jamii yetu.....kila mtu akicheza nafasi yake tutakuwa salama... matumizi ya ARV yamepunguza sana makali ya hii kitu na hata kasi ya maambukizi..
 
Mungu atusaidie asee, me niliwahi kuwa mwanamke ndani na nikamuamini sana tumeishi 3yrs tumeachana mwaka huu, na kipindi chote nilikuwa napiga kavu me nimejitunza sana tu Ila kwa mwenzangu sijui maana Hadi tunafikia kuachana ni kwasababu niligundua kacheat, Sasa nina mpango wa kwenda kucheki afya yangu nijijue kabisa najitunza vipi maana dunia imeharibika, Kama nikikutwa nao itakuwa bahati mbaya tu Ila sina tabia chafu Mimi kijana wa watu, alafu kinachonipa moyo Ni kwamba nipo fit sana napiga zoezi sana Pushups 50 one take.... Nahisi nitakuwa pow ngoja nikacheki
 
Mungu atusaidie asee, me niliwahi kuwa mwanamke ndani na nikamuamini sana tumeishi 3yrs tumeachana mwaka huu, na kipindi chote nilikuwa napiga kavu me nimejitunza sana tu Ila kwa mwenzangu sijui maana Hadi tunafikia kuachana ni kwasababu niligundua kacheat, Sasa nina mpango wa kwenda kucheki afya yangu nijijue kabisa najitunza vipi maana dunia imeharibika, Kama nikikutwa nao itakuwa bahati mbaya tu Ila sina tabia chafu Mimi kijana wa watu, alafu kinachonipa moyo Ni kwamba nipo fit sana napiga zoezi sana Pushups 50 one take.... Nahisi nitakuwa pow ngoja nikacheki
Yani mkuu umejipima kwa macho....nenda hospitali ukapime.Mungu atakuwa hpande wako
 
Yani mkuu umejipima kwa macho....nenda hospitali ukapime.Mungu atakuwa hpande wako
Mwili wako uingiliwe na virus alafu usijue mzee, na hivi maisha magumu watu tuna mawazo, mlo wa manati CD4 zinashuka kama upepo.
 
Back
Top Bottom