Unaachaje kusema?yani mie ningemchapa huyo wa kwenye friji mpaka akome.Na hao wachoraji tabia gani kumchora mtu hivyo?Hao wote wanahitaji fimbo
Unaachaje kusema?yani mie ningemchapa huyo wa kwenye friji mpaka akome.Na hao wachoraji tabia gani kumchora mtu hivyo?Hao wote wanahitaji fimbo
Unaachaje kusema?yani mie ningemchapa huyo wa kwenye friji mpaka akome.Na hao wachoraji tabia gani kumchora mtu hivyo?Hao wote wanahitaji fimbo
Tumechukua kwenye mitandao yao kwa kuwa wao wanakawaida ya kutegesha kamera kwenye nyumba zao sisi hatuna kanuni hizo.mbona wote ni watoto wa kizungu???
Mkuu umewahi kujifungua mtoto??
Doooh!!! waonekana mama mkali sana wewe eenh...
Watoto wadogo kama hao wapo katika hatua ya kujifunza hivyo namna ya kuwahandle ni kuwaelekeza kufanya mambo kwa usahihi...