KULEA MTOTO WA KIKE NI GHARAMA ZAIDI KULIKO WAKIUME

AskariKanzu

Member
Joined
Jul 25, 2025
Posts
38
Reaction score
145
Takwimu za Britain sainsbury bank, zinasema kuwa wazazi wenye watoto wa kike wanatumia zaidi ya dola 400 toka kuzaliwa mbaka umri wa miaka mitano tofauti na wazazi wenye watoto wa kiume.

Sababu kubwa ni mavazi. Mavazi ya kike ni gharama zaidi ukilinganisha na yakiume mfano gauni, viatu, kofia, bagi nk.

Pubity


 
Lakini ukikua utaona nguo za kiume ni ghali kuliko za kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…