Conq'ueror
Senior Member
- May 13, 2015
- 171
- 131
Wanajamvi,
Nina mapenzi makubwa sana na jeshi la nchi yangu Tanzania. Mara nyingine natamani ningekuwa mmoja wao nikahusika kwenye oparesheni tamu kama za Kongo. Pamoja na hayo; kuna jambo moja najiuliza (hadi kukosa raha) kutokana na tukio la juzi la makamanda wetu wa JWTZ takribani 14 kuuawa na zaidi ya 40 kujeruhiwa kwenye mapigano yanayosemekana kudumu zaidi ya saa 13.
Nimejitahidi kutafuta takwimu za ADF waliojeruhiwa ama kuuawa na jeshi letu shupavu ila sijabahatika kuziona. Ninajiuliza:-
1. Hivi inawezekana tupigane nao masaa 13 tusibahatishe hata mmoja?
2. Kama tuliwabahatisha kadhaa ni wangapi?
3. Kama hatukumpata hata mmoja, hii ina maana gani?
Sina maneno zaidi ya hapa; ila kama kuna mwenye takwimu hizi anisaidie ili angalau mimi komandoo niliyebahatika kubaki nao moyoni bila utekelezaji niweze kulala usingizi. Ninaamini kwamba pamoja na hasara tuliyoipata lazima tunapaswa kuwa tulipata 'faida'.
Conq'ueror
Komandoo wa kujitegemea.
Nina mapenzi makubwa sana na jeshi la nchi yangu Tanzania. Mara nyingine natamani ningekuwa mmoja wao nikahusika kwenye oparesheni tamu kama za Kongo. Pamoja na hayo; kuna jambo moja najiuliza (hadi kukosa raha) kutokana na tukio la juzi la makamanda wetu wa JWTZ takribani 14 kuuawa na zaidi ya 40 kujeruhiwa kwenye mapigano yanayosemekana kudumu zaidi ya saa 13.
Nimejitahidi kutafuta takwimu za ADF waliojeruhiwa ama kuuawa na jeshi letu shupavu ila sijabahatika kuziona. Ninajiuliza:-
1. Hivi inawezekana tupigane nao masaa 13 tusibahatishe hata mmoja?
2. Kama tuliwabahatisha kadhaa ni wangapi?
3. Kama hatukumpata hata mmoja, hii ina maana gani?
Sina maneno zaidi ya hapa; ila kama kuna mwenye takwimu hizi anisaidie ili angalau mimi komandoo niliyebahatika kubaki nao moyoni bila utekelezaji niweze kulala usingizi. Ninaamini kwamba pamoja na hasara tuliyoipata lazima tunapaswa kuwa tulipata 'faida'.
Conq'ueror
Komandoo wa kujitegemea.