Kulala msibani balaa


Mh! hii kali, next time mwamshe haraka sana ukiona anfanya hivyo, huyo ana spritual husband, katika hali ya kawaida huwezi kulala na kuota unafanya mapenzi.
 
Last edited by a moderator:

[TD="class: xl67, width: 54"]1 Petro[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28"]5[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28"]8[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737"]Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze. [/TD]

Hivi na wewe unaamini kuna kitu kama jini mahaba??...
Lakini pia kuota unananihiii mbona inatokea sana na nisehemu ya biolojia?...
 
hahahahahaha...kwa mantiki hiyo aisee kumbe bado niko mto Ruvu....Ntajitahidi niondoke hapa mto Ruvu nilipo nije hapo dar kwenyewe....manake sio siri sijawaona watu kibao hususan ulowataja....by the way kwa vile nimekuja kuweka kambi ntawatia tu machoni...nipe muda!!!

 

Hii pia inaweza kuwa sababu!
 
Nafikiri aibu itakuja pale kama kuna mtu atamstua kuwa..bi mkubwa umetoa manjonjo hapa si mchezo.....lakini kama walimnyamazia kimya anaweza asijue hata kilichotokea.

Ila hizi ndoto nyingine kweli zinafedhehesha.....khaa...

walimnyamazia lakin asubuhi wakamsimulia ndo maana aliona aibu
nikirefer stori ya sakapal
 
Last edited by a moderator:

Hahahahaha......... kama ni kweli basi Zinduka!!!
 
Ndio nazinduka ivo bro..Nistulie Mentor basi kama yupo jirani yako hapo..

Utamkuta Leo Tupo Hapa Pub, kwa hisani ya Mtambuzi na Mjeda.

Angalizo: Kunywa pombe kwa wingi ni hatari kwa afya yako.

Imetolewa kwa msaada wa watu wa marekani.
 
Last edited by a moderator:
Mimi leo naondoka mjini kwa muda..uelekeo katerero!
sakapal, bange asubuhi ashubhi tena msibani si nzuri!!!

Ila nimependa huyo mama ameota hivyo. Angeota anapigana na mumewe je?
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kali, yanimtu anaota hadi anakata mauno? Cant buy that!!
 
hakukuwa na wanaume wa kumsaidia kukata mauno? ili afike kilele halisia?
 
Last edited by a moderator:

Genye tu hizo hamna kitu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…