Pengine alitaka kumaanisha kulala chini.Mkuu hata mimi nilihisi labda nina makengeza,naona watu wamelala kifudifudi lakini jamaa anapost wamelala chali!!
Apa hawa vijana walio lala chini wanasimikwa kuwa mapadre.kulala huku chini kuna maanisha ya kuwa wanaifia Dunia na kumfata Yesu Kristo.So wanaiacha dunia na matamanio yake yote for Jesus
Kulala chali huku kunamainisha nini ?
mhh...
Wamtumainio bwana ni kama mlima sayuni hawatatikisikaaa milelee daima
MR, natumai ulimaanisha BwanaWamtumainio bwana ni kama mlima sayuni hawatatikisikaaa milelee daima
Hapa naona hata kujibu wameshindwa! umefunga kazi!