Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,602
Duuh.. nahisi wewe nawe ni celebrity?.. Maana una waelewa, nikutafute uwe unanipa ubuyu mkuu?Kinje alikua nae zamani wakati kinje yupo well financially , alikimbiwa baada ya kufulia
hata sasa Hana hela huyo kinje , bi dada hawezi kuludi