Kula usingizini..

Kuna rafiki yangu aliota ana njaa akaenda kula chakula hotelini (si nyumbani), kuamka akakuta vyombo vichafu and he had a lot to explain to his dear wifey!
Dah! Huyo lazima alikuwa na njaa ya watu wawili.

Hivi unaweza kula kwenye ndoto wakati chakula kipo mezani? Kweli alikuwa na kila sababu ya kujitetea kwa mpishi wake.
 
Dah! Huyo lazima alikuwa na njaa ya watu wawili.

Hivi unaweza kula kwenye ndoto wakati chakula kipo mezani? Kweli alikuwa na kila sababu ya kujitetea kwa mpishi wake.
hahahahaaa!! wengine hawakaribishwi chakula, na ukirudi na mivaluu yako hukuti chakula mezani, kinakuwa kimeshawekwa kwenye friji, na limewekwa lock.
sasa ikipita miezi miwili itakuwaje?
 
hahahahaaa!! wengine hawakaribishwi chakula, na ukirudi na mivaluu yako hukuti chakula mezani, kinakuwa kimeshawekwa kwenye friji, na limewekwa lock.
sasa ikipita miezi miwili itakuwaje?

Hahaha! Hiyo lock itavunjwa bora chakula kiliwe mezani.

Mambo ya kulia usingizini unaweza kula mende bila kujua ukapata kipindupindu. LOLZ!
 
Mwanakijiji na wewe umezidi kutuwekea mafumbo
Kwani chakula gani kinazungumziwa hapa..kila ninappojaribu 1+1 napata tatu???
 
Mh! Haya mambo ya kujifanya kula uko usingizini waweza kulishwa hata visivyoliwa....mbaya sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom