Kukwepa aibu: Sefue, Chande na Mwema jitoeni kwenye tume fake

Kukwepa aibu: Sefue, Chande na Mwema jitoeni kwenye tume fake

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,268
Reaction score
13,895
Kukwepa aibu: Sefue, Chande na Mwema jitoeni kwenye tume fake. Kesho CNN wanatoa report yao ya mauaji Dunia nzima.

Je ni nani atawapa viza, nani atawapa kazi za kimataifa na mtabaki kuonekana ni machawa na kuvunja heshima zetu mlizojenga kwa muda mrefu



1763668427317.png
 
Hapana wasijitoe, wafanye kazi yao ili waje na majibu ya kuchekesha, mataifa yazidi kuona vile viongozi wa bongo ni kichwa maji.
Ni sawa na manyonyo, sitaki ajiuzulu bali tumuue akiwa na hicho hicho cheo chake cha mchongo.
 
Kukwepa aibu:Sefue, Chande na Mwema jitoeni kwenye tume fake. Kesho CNN wanatoa report yao ya mauaji Dunia nzima. Je ni nani atawapa viza, nani atawapa kazi za kimataifa na mtabaki kuonekana ni machawa na kuvunja heshima zetu mlizojenga kwa muda mrefu
Heshima gani..? sefue ana heshima au huyo chande, bora hata mwema!
 
Back
Top Bottom